Nyerere afunguka kuhusiana na udini wa rais

Nyerere afunguka kuhusiana na udini wa rais

francis jn

Member
Joined
Oct 9, 2012
Posts
11
Reaction score
12
''Tunataka rais wetu, akiwa Mkristu, ajue hatumchagui kwa sababu ya Ukristu wake. Akiwa ni Mwislamu, ajue hatumchagui kwa sababu ya Uislamu wake. Hatumchagui awe rais wa Wakristu wala awe wa Uislamu, na tunataka hilo alijue na likubali kwa dhati na alisimamie na ndiye kiongozi wetu. Alisimamie kwa dhati bila woga, ndiyo kiongozi wetu. Katika nchi changa namna hii, ambayo watu haraka sana hukimbilia ukabila, haraka sana hukimbila udini, tunataka kiongozi awe imara kabisa katika mambo haya.''

Aliyasema hayo Mwalimu Julius K Nyerere kwenye klabu ya Waandishi wa Habari wa Tanzania, Machi 13, 1995.
 
''Tunataka rais wetu, akiwa Mkristu, ajue hatumchagui kwa sababu ya Ukristu wake. Akiwa ni Mwislamu, ajue hatumchagui kwa sababu ya Uislamu wake. Hatumchagui awe rais wa Wakristu wala awe wa Uislamu, na tunataka hilo alijue na likubali kwa dhati na alisimamie na ndiye kiongozi wetu. Alisimamie kwa dhati bila woga, ndiyo kiongozi wetu. Katika nchi changa namna hii, ambayo watu haraka sana hukimbilia ukabila, haraka sana hukimbila udini, tunataka kiongozi awe imara kabisa katika mambo haya.'' Aliyasema hayo Mwalimu Julius K Nyerere kwenye klabu ya Waandishi wa Habari wa Tanzania, Machi 13, 1995.

Ni kweli alisema alichokiamini. Uzuri hata Katiba ya nchi tuliyonay inaliweka wazi suala la uhuru wa imani na Serikali kuotkuwa na upande katika Imani yoyote ya kidini.

Taabu Katiba haijabadilika kwani misingi ya Katiba ik vilevile juu ya serikali kutokuwa na dini! TAABU ni usanii uletwa na ungzi wa miaka iliyfuata baada ya Awamu ya Kwanza-kutfuata mstari wa SERIKALI kuthusika na dini!

Sio mfumo, ni watawala wameharibu hili:-(
 
''Tunataka rais wetu, akiwa Mkristu, ajue hatumchagui kwa sababu ya Ukristu wake. Akiwa ni Mwislamu, ajue hatumchagui kwa sababu ya Uislamu wake. Hatumchagui awe rais wa Wakristu wala awe wa Uislamu, na tunataka hilo alijue na likubali kwa dhati na alisimamie na ndiye kiongozi wetu. Alisimamie kwa dhati bila woga, ndiyo kiongozi wetu. Katika nchi changa namna hii, ambayo watu haraka sana hukimbilia ukabila, haraka sana hukimbila udini, tunataka kiongozi awe imara kabisa katika mambo haya.'' Aliyasema hayo Mwalimu Julius K Nyerere kwenye klabu ya Waandishi wa Habari wa Tanzania, Machi 13, 1995.

Alafu kipindi hicho hicho ndo alimkataa jk, kweli babu alikuwa akiona mbali sana Mungu ampe pumziko la milele amen
 
Mbona waTz tutamkumbuka Nyerere sana tangia sasa na tuendako
 
''Tunataka rais wetu, akiwa Mkristu, ajue hatumchagui kwa sababu ya Ukristu wake. Akiwa ni Mwislamu, ajue hatumchagui kwa sababu ya Uislamu wake. Hatumchagui awe rais wa Wakristu wala awe wa Uislamu, na tunataka hilo alijue na likubali kwa dhati na alisimamie na ndiye kiongozi wetu. Alisimamie kwa dhati bila woga, ndiyo kiongozi wetu. Katika nchi changa namna hii, ambayo watu haraka sana hukimbilia ukabila, haraka sana hukimbila udini, tunataka kiongozi awe imara kabisa katika mambo haya.'' Aliyasema hayo Mwalimu Julius K Nyerere kwenye klabu ya Waandishi wa Habari wa Tanzania, Machi 13, 1995.

Mimi naona waTanganyika acheni unafiki na mjiulize. KWANINI NYERERE ALITOA HOTBA NZURI NZURI NA ZENYE MAANA SANA BADA YA KUONDOKA URAISI? jE MTU YOYOTE ANAWEZA KUTOA HOTBA YA RAIS NYERERE AKIWA MADARAKANI AMBAYO NI NZURI NA YENYE MAANA MPAKA LEO?

CHUNGUZENI HILO kama sio unafiki tu.

 
Broda nimekusoma ndugu yangu barubaru ila ukitaka kumjua nyerere nenda kwenye nchi za watu ndio utamjua. Watu wanaompinga nyerere cku zote ni wadin tu hakuna kingine yule mzee angekuwa muislam wala usingeckia lawama zozote. Binafsi kule kwetu uchagan inaaminika katika watu nyenyere aliwabania ni wachaga coz kasi yao ya maendeleo ilikuwa kubwa mno na nafkir alikuwa na lengo zur wote tuwe sawa. Na kwa mtu mwenyewe akili timamu anajua yule mzee alijitolea katika roho na mwili kwa nchi yake. Mara nyingi wanaolaum ni wavivu hata kwa maisha yao ya asili.
 
Hivi wewe ni msomi wa aina gani ambaye hujawahi kusoma hotuba za Nyerere.

Tafuta vitabi viwili vimechapishwa na HakiElimu. Vina hotuba za Nyerere on Education.
Usome kama unajua kusoma.
 
Mimi naona waTanganyika acheni unafiki na mjiulize. KWANINI NYERERE ALITOA HOTBA NZURI NZURI NA ZENYE MAANA SANA BADA YA KUONDOKA URAISI? jE MTU YOYOTE ANAWEZA KUTOA HOTBA YA RAIS NYERERE AKIWA MADARAKANI AMBAYO NI NZURI NA YENYE MAANA MPAKA LEO?

CHUNGUZENI HILO kama sio unafiki tu.


zipo nyingi tu. tena bora zaidi.
 
Tumia akili yako kwa upana na usiongozwe na hisia zako finyu, Hotuba za Mwl. Nyerere ziliongozwa na uzalendo na upendo na sio hisia hasi kama zako.
 
Alafu kipindi hicho hicho ndo alimkataa jk, kweli babu alikuwa akiona mbali sana Mungu ampe pumziko la milele amen

Hapo hapo licha ya ushauri wa busara wa Mwalimu, nyie vilaza mwaka 2005 mkamchagua Baba Mwana Asha bila kuzingatia ushauri mliopewa; na matokeo yake ndio hayo mnayoyalalamikia kuwa siku hizi nchi hii ina udini!! Waswahili husema ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU!!!
 
Kambarage ni The king of Tanzania. Hii ni nchi yake ambayo amepewa na mungu aikomboe na aijenge. Alijitolea sana kwa nchi yake hata akajisahau yeye mwenyewe lakini watanzinia walikuwa wanakalia akili zao waliutamani sana ukambarage. Maisha ya kambarage ni mpango uliopangwa vyema na Mungu. ili kuifahamu Nyerere aliyekuwa kiongozi wa kimwili hadi rohoni hebu mfananishe na watu kama Khomein, nabii yahya aliyekuwa akiwatosa wayahudi majini na kisha wakasamehewa dhambi na nabii eliyasi. pia soma post zangu za jamii forum na facebook. jina langu facebook ni King Ahmad. ukiwa na akili huru ambayo haikufungwa utamuona kambarage ni muonaji, muonyaji na mbashiri (nabii). Alipoachia madaraka tu tanzania ikawa uwanja wa kukanyagana bila sheria. Acha hisia za kidini, hawa maustadhi wetu wanatafuta njia ya kutukanyaga tu wala hawaenezi uislam.
 
Back
Top Bottom