Nyerere alikosea kuunganisha Zanzibar na Tanganyika?

Nyerere alikosea kuunganisha Zanzibar na Tanganyika?

Nyamtala Kyono

Senior Member
Joined
Sep 23, 2010
Posts
163
Reaction score
34
Wakati huu tunapojadili rasimu ya kwanza ya katiba kuna kitu nimekiona leo kikanikumbusha swali ambalo nimekuwa nikijiuliza kimoyomoyo. "Nyerere alikosea kuiunganisha zanzibar na tanganyika?"

Nilichokiona hapa mjini (huku kwetu tanganyika). Kuna jamaa mmoja alikuwa amebeba bango asubuhi ya leo linalosomeka.

"Unguja na pemba ni visiwa halali vya tanganyika kama ilivyo ukerewe na mafia"

kama nakubaliana nae hv!
Angalizo: Wazanzibari mapovu yasiwatoke,ni maoni tu

Nyamtalakyono
 
Nikiwa nje nilienda Atilanta University kitengo cha aridhi nikawauliza uwezekano wa 'kuvisukumia mbali na pwani ya Tanganyika visiwa hivyo...
 
Wakati huu tunapojadili rasimu ya kwanza ya katiba kuna kitu nimekiona leo kikanikumbusha swali ambalo nimekuwa nikijiuliza kimoyomoyo. "Nyerere alikosea kuiunganisha zanzibar na tanganyika?"

Nilichokiona hapa mjini (huku kwetu tanganyika). Kuna jamaa mmoja alikuwa amebeba bango asubuhi ya leo linalosomeka.

"Unguja na pemba ni visiwa halali vya tanganyika kama ilivyo ukerewe na mafia"

kama nakubaliana nae hv!
Angalizo: Wazanzibari mapovu yasiwatoke,ni maoni tu

Nyamtalakyono
Zanzibar ni nchi huru.
Bila huu muungano, Zanzibar ingepiga hatua kubwa sana kimaendeleo
 
Back
Top Bottom