johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Siku hizi Wabunge ni wajanja sana kabla hawajaulizwa swali kama hili Wao Ndio huanza kumpamba Rais kwamba yeye Ndio alpha and Omega.
Nakumbuka Mwalimu Nyerere alipombabatiza na swali hili mbunge wangu wa Kinondoni Wakati Ule Ndugu Msakandeo.
Nyerere: Ndugu Msakandeo tuambie Wewe kama Mbunge umewafanyia nini Watu hawa katika kuthamanisha kura walizotupa?
Msakandeo: Mheshimiwa Ndugu Rais nikiwa mbunge kila jioni nawatembelea Wagonjwa Hospital ya Mwananyamala kuwajulia hali kwa niaba Yako Mwenyekiti.
Uchaguzi ulifuata jina la Msakandeo halikurudi tukaletewa mgombea mpya Kabisa.
Hiyo Ndio CCM iliyokataa Uchawa.
Kwako Mrangi Ova pale Siri Yako Kinondoni 😂😂😂
Nakumbuka Mwalimu Nyerere alipombabatiza na swali hili mbunge wangu wa Kinondoni Wakati Ule Ndugu Msakandeo.
Nyerere: Ndugu Msakandeo tuambie Wewe kama Mbunge umewafanyia nini Watu hawa katika kuthamanisha kura walizotupa?
Msakandeo: Mheshimiwa Ndugu Rais nikiwa mbunge kila jioni nawatembelea Wagonjwa Hospital ya Mwananyamala kuwajulia hali kwa niaba Yako Mwenyekiti.
Uchaguzi ulifuata jina la Msakandeo halikurudi tukaletewa mgombea mpya Kabisa.
Hiyo Ndio CCM iliyokataa Uchawa.
Kwako Mrangi Ova pale Siri Yako Kinondoni 😂😂😂