Nyerere angegombea urais kwa Tiketi Ya Upinzani angeweza Kushinda?


well mr weberoya unajua maana ya udikteka ?wazee hawakuweza kusema kitu kutokana na kwamba wakati wa kipindi chake ukitoa maoni yoyote yanyohusu nchi unaitwa mhaini na kutiwa ndani .even if you were not threat to a national security.kuna viongozi walikuwa wanataka kudebet kuhusu masuala ya muungano and you know what he did .he fired them.dictator nyerere was a hero to an idiot like you who live in the village.
 

kama uzushi na ufisadi basi nyerere ndio alieanzisha .we are in this terrible situation because of him .he create it all.vile vile mkuu naona unachanganya .capitalist and corruption is two different things .to be a capitalist is not a bad thing as long as umepata pesa yako kihalali .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…