Fabian the Jr
JF-Expert Member
- Aug 4, 2012
- 756
- 751
Baadhi ya watu wamekuwa na hofu kwamba jina la daraja la Mwalimu Nyerere ( #NyerereBridge) lililoko Kigamboni, halitatumika.
Hoja za watu zina mashiko makubwa kwani kuna Miradi mingine iliwahi kupewa jina la Nyerere lakini halikusdumu ( Mfano Pugu Road).
Lakini mimi jina hilo litafanikiwa iwapo sisi wenyewe tutalishikia Bango. Siku hizi mambo yote yanakwenda kwa nguvu ya mitandao ya kijamii.
Tushikie bango jina hilo kwa heshima ya Mwalimu ; #NyerereBridge
Hoja za watu zina mashiko makubwa kwani kuna Miradi mingine iliwahi kupewa jina la Nyerere lakini halikusdumu ( Mfano Pugu Road).
Lakini mimi jina hilo litafanikiwa iwapo sisi wenyewe tutalishikia Bango. Siku hizi mambo yote yanakwenda kwa nguvu ya mitandao ya kijamii.
Tushikie bango jina hilo kwa heshima ya Mwalimu ; #NyerereBridge