Nyerere day imepita na mambo mengi bado hayako sawa

Nyerere day imepita na mambo mengi bado hayako sawa

SAUTI YAKO

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2014
Posts
2,944
Reaction score
2,032
Nimeona ukimya wa kitaifa kuhusiana na migogoro ya kimataifa,nimeona tumeshindwa kutumia walau fursa hiyo kuwaenzi Aman karume na jk kuwaonya majirani zetu wa karibu kupatana sisi kama moja ya wakubwa wa east africa,hamna tumaini jipya juu ya migao ya umeme,hamna kauli yoyote juu ya upandaji wa bei za mafuta,mifumuko ya bei ya bidhaa mbalimbali hamna alokemea au kutoa maelekezo.inshort kama magu alikutana na Mwalimu huko waliko leo mwalimu atazidisha upendo wake kwa mwamba wengine tutaenda kutolewa ushaidi wa tanzania ya nyerere aloitaka
 
Nimeona ukimya wa kitaifa kuhusiana na migogoro ya kimataifa,nimeona tumeshindwa kutumia walau fursa hiyo kuwaenzi Aman karume na jk kuwaonya majirani zetu wa karibu kupatana sisi kama moja ya wakubwa wa east africa,hamna tumaini jipya juu ya migao ya umeme,hamna kauli yoyote juu ya upandaji wa bei za mafuta,mifumuko ya bei ya bidhaa mbalimbali hamna alokemea au kutoa maelekezo.inshort kama magu alikutana na Mwalimu huko waliko leo mwalimu atazidisha upendo wake kwa mwamba wengine tutaenda kutolewa ushaidi wa tanzania ya nyerere aloitaka
Mpaka sasa bado siamini macho yangu ujue.....
Umeme shida ....
Maji shida.....
Mafuta ndo usiseme.....
Latra wapo kweny kikao cha kupandisha nauli..
Mfumuko wa bei ndo usiseme ......

Amini na kwambia kwa huyu mama tumepigwa
 
Mpaka sasa bado siamini macho yangu ujue.....
Umeme shida ....
Maji shida.....
Mafuta ndo usiseme.....
Latra wapo kweny kikao cha kupandisha nauli..
Mfumuko wa bei ndo usiseme ......

Amini na kwambia kwa huyu mama tumepigwa
Daah mi niliamini leo tungesikia lolote la kuleta matumaini hali ya maisha inatisha mtaani
 
Back
Top Bottom