Nyerere Day: Maktaba Inavyomuadhimisha Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (1922 - 1999)

Nyerere Day: Maktaba Inavyomuadhimisha Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (1922 - 1999)

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
21,967
Reaction score
32,074
NYERERE DAY: MAKTABA INAVYOMUADHIMISHA BABA WA TAIFA

Leo ni Nyerere Day.
Leo ni siku ya mapumziko.

Taifa linamuadhimisha Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Maktaba yangu ni kati ya maktaba tatu zilizosheheni historia ya Mwalimu Nyerere.

Maktaba ya kwanza ni ya Dr. Salim Ahmed Salim ya pili ni hii yangu na ya tatu ni ya Brig. General Hashim Mbita.

Haya yameandikwa katika kitabu cha maisha ya Julius Nyerere waandishi wakiwa Prof. Issa Shivji, Prof. Saida Othman na Dr. Ng'waza Kamata.

Nimedamka na Maktaba.

Napitia makala zangu zenye historia ya mengi aliyopitia Mwalimu Nyerere katika kupigania uhuru wa Tanganyika.

Historia hii haifahamiki.

Hii ni historia ngeni kwa wengi na haikuweko wala haikupata kufahamika.

Naangalia picha za Mwalimu na ni picha za zamani sana na waliokuwa katika picha hizo na wakati huo wote wametangulia mbele ya haki.

Natazama video na kusikiliza audio nilizozungumza historia ya Julius Nyerere.

Najiuliza kipi niweke ambacho kitaeleza historia ya Mwalimu kama inavyostahili kuelezwa?

Hii si kazi rahisi.

Hii ni kazi ngumu sana lakini lazima juu ya ugumu wake ifanywe.

Lazima Maktaba imuadhimishe Baba wa Taifa kwa neno la kuandika, kwa picha na kwa sauti.

Tufunge safari:


View: https://youtu.be/Y7pYlUi09Rw?si=F1y5EqUEyY6-RxIB

Huenda wengi watastaajabu kufahamu kuwa nimehariri kitabu cha Jim Bailey, "Tanzania The Story of Julius Nyerere," (1993).

1728882054983.jpeg

Halikadhalika nimeshirikishwa katika kumweleza Mwalimu katika kitabu cha maisha yake.
1728882449372.jpeg


View: https://youtu.be/cDXRaONNaCY?si=AuFlrY3n_oJR3y8P

Kwa mukhtasari nimependa kuweka hapa machache yaliyopo Maktaba kumkumbuka Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (1922 - 1999).
 
Nimexzikiliza na kusoma historia jinsi zinavyohadithiwa na watri mbalimbali kuhusu marehemu Nyerere, cha kushangaza na kustaajabisha, nimemsoma mara chache sana, tena huelezewa kijujuu juu tu na wanahistoria ws hapa ndani. Wae wnj nao noi afadhali unaweza kukuta makala zao moja au mbili wakimwelezea.

Hainiingii akilini, upewe tu Mwingereza akae ofisi ya Rais na ahamie kabisa Tanganyika na asiondoke Ikulu wala Tanzania mpaka?...

Mataifa yana siri nyingi, ni nini siri ya uwepo wa Joan Wicken Ikulu yetu kwa miaka yote hiyo?
 
NYERERE DAY: MAKTABA INAVYOMUADHIMISHA BABA WA TAIFA

Leo ni Nyerere Day.
Leo ni siku ya mapumziko.

Taifa linamuadhimisha Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Maktaba yangu ni kati ya maktaba tatu zilizosheheni historia ya Mwalimu Nyerere.

Maktaba ya kwanza ni ya Dr. Salim Ahmed Salim ya pili ni hii yangu na ya tatu ni ya Brig. General Hashim Mbita.

Haya yameandikwa katika kitabu cha maisha ya Julius Nyerere waandishi wakiwa Prof. Issa Shivji, Prof. Saida Othman na Dr. Ng'waza Kamata.

Nimedamka na Maktaba.

Napitia makala zangu zenye historia ya mengi aliyopitia Mwalimu Nyerere katika kupigania uhuru wa Tanganyika.

Historia hii haifahamiki.

Hii ni historia ngeni kwa wengi na haikuweko wala haikupata kufahamika.

Naangalia picha za Mwalimu na ni picha za zamani sana na waliokuwa katika picha hizo na wakati huo wote wametangulia mbele ya haki.

Natazama video na kusikiliza audio nilizozungumza historia ya Julius Nyerere.

Najiuliza kipi niweke ambacho kitaeleza historia ya Mwalimu kama inavyostahili kuelezwa?

Hii si kazi rahisi.

Hii ni kazi ngumu sana lakini lazima juu ya ugumu wake ifanywe.

Lazima Maktaba imuadhimishe Baba wa Taifa kwa neno la kuandika, kwa picha na kwa sauti.

Tufunge safari:


View: https://youtu.be/Y7pYlUi09Rw?si=F1y5EqUEyY6-RxIB

Huenda wengi watastaajabu kufahamu kuwa nimehariri kitabu cha Jim Bailey, "Tanzania The Story of Julius Nyerere," (1993).

View attachment 3124442
Halikadhalika nimeshirikishwa katika kumweleza Mwalimu katika kitabu cha maisha yake.
View attachment 3124443

View: https://youtu.be/cDXRaONNaCY?si=AuFlrY3n_oJR3y8P

Kwa mukhtasari nimependa kuweka hapa machache yaliyopo Maktaba kumkumbuka Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (1922 - 1999).

Baadhi ya mabaya au ubovu wa Mwl. Nyerere:-
1. Kuiga, Kuanzisha na kuendeleza Sera na Itikadi Mbaya kabisa ya Siasa za Ukomunisti/Ujamaa hapa Tanzania.

Huu ndio ulikuwa mwanzo wa Kujenga Msingi mbovu wa Taifa la hovyo kabisa lililopo hivi sasa.
Itikadi na Sera ya Ukomunisti/Ujamaa ikaja kushindwa vibaya Sana huku yeye mwenyewe akishuhudia kwa macho yake kushindwa kwa itikadi yake aliyoileta hapa Tanzania kutoka kwa marafiki zake wa China, Urusi na Cuba.

2. Kutengeneza Taifa la Watu waoga, Wanyonge, dhaifu wa fikra wasiojitambua na Wala wasioweza kuhoji. Taifa la watu 'misukule'.

3. Kutengeneza au kuunda nchi isiyokuwa na Mipango-miji, hususani kupitia kwenye Sera yake mbaya kabisa ya ujamaa/Ukomunisti. Sera au Itikadi hiyo ya Ujamaa/Ukomunisti ndio ilikuwa chanzo Cha Kuanzishwa kwa Azimio la Arusha na Operesheni Vijiji, the Worse Operation that completely destroyed the Country and Town Planning process within the Country.
Arusha Declaration and Operation Vijiji also led to the Death of Real Estate Industry and its development.

Kupitia Itikadi hiyo ya Ujamaa/Ukomunisti, Azimio la Arusha na Operesheni Vijiji, Watu wengi sana walinyang'anywa Ardhi zao pamoja na majumba yao waliyokuwa wakimiliki. Nyumba nyingi sana za Watu zilitaifishwa, Leo hii nyumba hizo zinamilikiwa na Shirika la Nyumba (NHC).

4. Kutuletea Katiba ya nchi ambayo ni mbaya kabisa, isiyofaa na ambayo imesababisha na inaendelea kusababisha madhara makubwa sana kwa Raia. Katiba mbaya ambayo imewatengeneza Watawala wa nchi hii kuwa 'Miungu Watu.'
 
Back
Top Bottom