Nyerere alikuwa sawa kabisa maana alikuwa akipinga utanganyika na uzanzibar na kujali utanzania.ndio maana smz kawa na kwa ajili ya zanzibar tu na haitambuliki kimataifa. zanzibar ilikuwa ni sehemu ya muungano wala sio nchi.umuhimu wa serikali ile ni kudumisha utamaduni wa kuisaidia serikali ya muungano kutoa huduma.
Kikwete kaibadili katiba ya znz kuitaja kama znz ni nchi,kaipa wimbo wa taifa na bendera pamoja na kutambulika kikatiba kwa vikosi vya ulinzi vya jku na kmkm.Utawala wa kikwete umekuza uzanzibar ambao hata nyerere hakutaka ufike huko.sasa tanzania kumezaliwa taifa la wazanzibar wanaojiona bora kuliko wengine na kutaka kujitenga. serikali mbili hazitafaa.
Kikwete kaibadili katiba ya znz kuitaja kama znz ni nchi,kaipa wimbo wa taifa na bendera pamoja na kutambulika kikatiba kwa vikosi vya ulinzi vya jku na kmkm.Utawala wa kikwete umekuza uzanzibar ambao hata nyerere hakutaka ufike huko.sasa tanzania kumezaliwa taifa la wazanzibar wanaojiona bora kuliko wengine na kutaka kujitenga. serikali mbili hazitafaa.