Nyerere, Magufuli na Polepole: Mashujaa pekee wa CCM katika enzi za siasa za vyama vingi

Nyerere, Magufuli na Polepole: Mashujaa pekee wa CCM katika enzi za siasa za vyama vingi

Weakman

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2021
Posts
995
Reaction score
1,607
Ni wazi CCM wanaamini kukosoana wenyewe ni kosa la jinai na hasa kumkosoa mwenyekiti ni dhambi isiyovumika!!

Vyama upinzani wanayo hii pia, Ila kwakuwa mada inawaangazia hao mashujaa watatu, ndipo nimeitaja CCM!

Ndani ya CCM usikosoe serikali hadharani
Watakushughulikia kungali kweupe!
Hii desturi si njema kwa afya ya Taifa, na hii inatokana na desturi ya kuthamini chama kuliko Taifa.

Hadi Sasa, kumbukumbu zangu zinaniambia, ni watatu wamethubutu kukiuka huo mwiko na kuonekana mashujaa, wakaamua waziwazi kusema wanaCCM wanakosea katika hili au lile

Kukosoa watendaji wa serikali ukiwa ndani ya CCM, ni ujasiri mkubwa!

Tunaomba Wana CCM tubadilike,
Uhai wa chama ni uwajibikaji Bora wa watendaji wetu.

Tujisahihishe

Hio nayo ni sehemu ya kumuenzi Mwl Nyerere!
 
The goal isn’t to get rid of all your negative thoughts, feelings, and life situations. That’s impossible. The goal is to change your response to them. To grow so strong on the inside, that nothing on the outside can affect your inner wellness without your conscience permission.
 
Ni Nyerere yupi unamtaja hapa? Ni Steve Nyerere au ile sanamu alichonga KIGWANGALA ? Dogo kama ni baba wa Taifa JK Nyerere nakushauri nenda kafanye utafiti kwanza ili umuelewe. Wacha kumfananisha na huo UJINGA wa Chato
Acha makasiriko dogo
 
267701384_4660535124038143_33533861784576955_n.jpg


Shujaa
 
Put it differently kwamba nyerere, jpm na polepole Ni wauaji wakubwa kuwahi kutokea tangu enzi za Uhuru.

Watu wameokotwa kwenye viroba wamekufa kisa jpm na pole wanakiangalia safari ya kubaki madarakani bila kupingwa. Watu wameuwa Kama akina Ben saanane na gwanda. Tundu lisu wamemshambulia kwa lisasai mithili afe kaponea chupupupu.

Polepole alikuwa dictator wa kununua wapinzani mpaka akaagiza polisi wawateke warudushapo form za uchaguzi. Ni kipindi Cha akina polepole ndo tumeshuhudia ccm kupita bila kupingwa ambapo haijawahi kutokea popote duniani.

Kama umetumwa uandike haya au we Ni polepole mwenyewe you are asa good as nothing. Uncooth.
 
Ni wazi CCM wanaamini kukosoana wenyewe ni kosa la jinai na hasa kumkosoa mwenyekiti ni dhambi isiyovumika!!

Vyama upinzani wanayo hii pia, Ila kwakuwa mada inawaangazia hao mashujaa watatu, ndipo nimeitaja CCM...
Muosha huoshwa! Malipo ni hapa hapa kwa dunia. Alipokuwa untouchable alihisi haiwezi kuja time naye yakamkuta. Aliwaona waliokuwa wana mawazo tofauti wanafaa kukamatwa, kufungwa hata kushughulikiwa. Sasa yeye analia nini?
 
Kwny Issue ya Pole pole na Nape Nauye hakuna issue ya uzalendo wala public Interest…ni vita ya wapigaji sie tuichukulie kama movie lakin hakuna faida kwa umma kwa upande wowote ukishinda

Ni wazi CCM wanaamini kukosoana wenyewe ni kosa la jinai na hasa kumkosoa mwenyekiti ni dhambi isiyovumika...
 
Polepole alikuwa engineer wa wizi wa kura nchi nzima na kununua wapinzani, hawa umbwa walikuwa wanaipeleka Tanzania kwenye matatizo ambayo yangeweza kuleta chuki kubwa sana na hata vita, huyu ni wa kukamata na kufunguliwa mashtaka
 
Ni wazi CCM wanaamini kukosoana wenyewe ni kosa la jinai na hasa kumkosoa mwenyekiti ni dhambi isiyovumika!!

Vyama upinzani wanayo hii pia, Ila kwakuwa mada inawaangazia hao mashujaa watatu, ndipo nimeitaja CCM!

Ndani ya CCM usikosoe serikali hadharani
Watakushughulikia kungali kweupe!
Hii desturi si njema kwa afya ya Taifa, na hii inatokana na desturi ya kuthamini chama kuliko Taifa.

Hadi Sasa, kumbukumbu zangu zinaniambia, ni watatu wamethubutu kukiuka huo mwiko na kuonekana mashujaa, wakaamua waziwazi kusema wanaCCM wanakosea katika hili au lile

Kukosoa watendaji wa serikali ukiwa ndani ya CCM, ni ujasiri mkubwa!

Tunaomba Wana CCM tubadilike,
Uhai wa chama ni uwajibikaji Bora wa watendaji wetu.

Tujisahihishe

Hio nayo ni sehemu ya kumuenzi Mwl Nyerere!
Huu ujinga huu 🚮🚮🚮 unathubutu vp kumlinganisha mwalimu na hao watu?? Wameifanyia nn Tanzania na Africa??
 
Back
Top Bottom