Ni wazi CCM wanaamini kukosoana wenyewe ni kosa la jinai na hasa kumkosoa mwenyekiti ni dhambi isiyovumika!!
Vyama upinzani wanayo hii pia, Ila kwakuwa mada inawaangazia hao mashujaa watatu, ndipo nimeitaja CCM!
Ndani ya CCM usikosoe serikali hadharani
Watakushughulikia kungali kweupe!
Hii desturi si njema kwa afya ya Taifa, na hii inatokana na desturi ya kuthamini chama kuliko Taifa.
Hadi Sasa, kumbukumbu zangu zinaniambia, ni watatu wamethubutu kukiuka huo mwiko na kuonekana mashujaa, wakaamua waziwazi kusema wanaCCM wanakosea katika hili au lile
Kukosoa watendaji wa serikali ukiwa ndani ya CCM, ni ujasiri mkubwa!
Tunaomba Wana CCM tubadilike,
Uhai wa chama ni uwajibikaji Bora wa watendaji wetu.
Tujisahihishe
Hio nayo ni sehemu ya kumuenzi Mwl Nyerere!
Vyama upinzani wanayo hii pia, Ila kwakuwa mada inawaangazia hao mashujaa watatu, ndipo nimeitaja CCM!
Ndani ya CCM usikosoe serikali hadharani
Watakushughulikia kungali kweupe!
Hii desturi si njema kwa afya ya Taifa, na hii inatokana na desturi ya kuthamini chama kuliko Taifa.
Hadi Sasa, kumbukumbu zangu zinaniambia, ni watatu wamethubutu kukiuka huo mwiko na kuonekana mashujaa, wakaamua waziwazi kusema wanaCCM wanakosea katika hili au lile
Kukosoa watendaji wa serikali ukiwa ndani ya CCM, ni ujasiri mkubwa!
Tunaomba Wana CCM tubadilike,
Uhai wa chama ni uwajibikaji Bora wa watendaji wetu.
Tujisahihishe
Hio nayo ni sehemu ya kumuenzi Mwl Nyerere!