Nyerere, Magufuli na Polepole: Mashujaa pekee wa CCM katika enzi za siasa za vyama vingi

Unamkosea heshima Mwalimu Nyerere kumlinganisha na wahuni. Koma kabisa.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Zanzibar inajitesa yenyewe,

Ni kweli inajitesa yenyewe kwani majeshi ya Tanganyika yapo kila mtaa pamoja na watu wasiojulikana kutoka Tanganyika . wanasubiri uchaguzi /uchafuzi ufike wauwe watu na kutia vilema watu huku wakinajisi na kuiba
 
Ni kweli inajitesa yenyewe kwani majeshi ya Tanganyika yapo kila mtaa pamoja na watu wasiojulikana kutoka Tanganyika . wanasubiri uchaguzi /uchafuzi ufike wauwe watu na kutia vilema watu huku wakinajisi na kuiba
Hakuna mwenye jeuri kama magu tena mambo shwali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…