Nyerere muanzilishi wa taifa la Tanzania

Nyerere muanzilishi wa taifa la Tanzania

simba songea

JF-Expert Member
Joined
Feb 8, 2016
Posts
1,498
Reaction score
1,216
Zikiwa zimebaki siku kadhaa Kabla kuazimisha maazimisho ya kuondokewa na Baba yetu wa Taifa hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Kuna watu wengi wamelipigania Taifa letu lakini Leo nitamzungumzia Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alitamani Afrika iwe nchi moja na alifanya jitihada za kuunganisha nchi za Afrika mashariki mojawapo ni Zanzibar.

Kuna watu wana ubeza Muungano lakini hawajui jitihada gani zilifanyika kuufanya huu Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Zanzibar ilipata uhuru wake 10-12-1963, mwaka 12-01-1964 ilipata mapinduzi. Mwaka 26-04-1964 wakaungana na Tanganyika. Wakati Tanganyika ilipata uhuru 09-12-1961 na mwaka 26-04-1964 wakaungana na Zanzibar.

Tunaambiwa Zanzibar huru ilikaa mwaka mmoja tu, maana Baada ya kupata uhuru mwaka uliofata wakaungana na Tanganyika. Pia Tanganyika huru ilikaa miaka 2 tu wakaungana na Zanzibar ikazaliwa Tanzania.

Watu wanauzarau Muungano Bila kujua Tanganyika huru na Zanzibar huru hazikukaa sana. Maisha yao Mengi wameyaishi ndani ya Muungano. Mafanikio ya sasa yametokana na Muungano.

Rais wangu Magufuli wakati Mwalimu Nyerere anaunganisha Tanganyika na Zanzibar mwaka 1964. Magufuli alikuwa na miaka 5 tu(kazaliwa 1959) Rais mstaafu kikwete miaka 14(kazaliwa 1950) Wakati Nyerere akiwa na miaka 42. Hapo utapata picha kwamba wazanzibar na Watanganyika wengi wameishi miaka mingi wakiwa ndani ya Muungano. .

Itakuwa ajabu Rais Magufuli apinge Muungano wakati nchi Hizi zinaungana Yeye alikuwa na miaka 5 tu. Ameishi amesoma amepata urais akiwa ndani ya Muungano.

Kitu pekee ambacho Watanzania bara na visiwani tunajisifu tumekifanya as sovereignty ni kuziunganisha Hizi nchi 2. Mengine yote tumerithi kwa wakoloni.

Kumbuka kitu kinachofanya ujiite Mimi Mzanzibar Huyu Mtanganyika ni Muungano peke yake. Lakini nje ya Muungano kuna Muunguja na mpemba.

Viva muasisi WA TANZANIA HAYAT MWALIMU JK NYERERE
d3c61ecead037c760f98072fc8b62045.jpg
12f78ca87b44ebaa55a7a3c529dc7d1d.jpg
726d903c6e76831235dfc030541579d0.jpg
759ac6e312827252faa4e6c6afc79f46.jpg
majeshi yetu
ba679a0be2c3868160c28776d4449854.jpg
 
Zikiwa zimebaki siku kadhaa Kabla kuazimisha maazimisho ya kuondokewa na Baba yetu wa Taifa hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Kuna watu wengi wamelipigania Taifa letu lakini Leo nitamzungumzia Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alitamani Afrika iwe nchi moja na alifanya jitihada za kuunganisha nchi za Afrika mashariki mojawapo ni Zanzibar.

Kuna watu wana ubeza Muungano lakini hawajui jitihada gani zilifanyika kuufanya huu Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Zanzibar ilipata uhuru wake 10-12-1963, mwaka 12-01-1964 ilipata mapinduzi. Mwaka 26-04-1964 wakaungana na Tanganyika. Wakati Tanganyika ilipata uhuru 09-12-1961 na mwaka 26-04-1964 wakaungana na Zanzibar.

Tunaambiwa Zanzibar huru ilikaa mwaka mmoja tu, maana Baada ya kupata uhuru mwaka uliofata wakaungana na Tanganyika. Pia Tanganyika huru ilikaa miaka 2 tu wakaungana na Zanzibar ikazaliwa Tanzania.

Watu wanauzarau Muungano Bila kujua Tanganyika huru na Zanzibar huru hazikukaa sana. Maisha yao Mengi wameyaishi ndani ya Muungano. Mafanikio ya sasa yametokana na Muungano.

Rais wangu Magufuli wakati Mwalimu Nyerere anaunganisha Tanganyika na Zanzibar mwaka 1964. Magufuli alikuwa na miaka 5 tu(kazaliwa 1959) Rais mstaafu kikwete miaka 14(kazaliwa 1950) . Hapo utapata picha kwamba wazanzibar na Watanganyika wengi wameishi miaka mingi wakiwa ndani ya Muungano. Wakati Nyerere akiwa na miaka 42.

Itakuwa ajabu Rais Magufuli apinge Muungano wakati nchi Hizi zinaungana Yeye alikuwa na miaka 5 tu. Ameishi amesoma amepata urais akiwa ndani ya Muungano.

Kitu pekee ambacho Watanzania bara na visiwani tunajisifu tumekifanya as sovereignty ni kuziunganisha Hizi nchi 2. Mengine yote tumerithi kwa wakoloni.

Kumbuka kitu kinachofanya ujiite Mimi Mzanzibar Huyu Mtanganyika ni Muungano peke yake. Lakini nje ya Muungano kuna Muunguja na mpemba.

Viva muasisi WA TANZANIA HAYAT MWALIMU JK NYERERE
d3c61ecead037c760f98072fc8b62045.jpg
12f78ca87b44ebaa55a7a3c529dc7d1d.jpg
726d903c6e76831235dfc030541579d0.jpg
759ac6e312827252faa4e6c6afc79f46.jpg
majeshi yetu
ba679a0be2c3868160c28776d4449854.jpg
Simba Songea,
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulitokana na mapinduzi ya 1964.

Karume hakuunganisha Zanzibar kwa mapenzi ya umoja bali ziko sababu
zilizomfanya afanye haraka ya kupata hifadhi ya Mwalimu Nyerere.

Ninachokushauri ni wewe kusoma historia ya kweli ya Zanzibar hii itakuweka
katika hali ya kujua ukweli wa mambo.

Hiyo lugha ya, ''Nje ya muungano kutakuwa na Wapemba nk...'' haina maana
yoyote.

Zanzibar na Pemba zimekuwapo kwa karne na karne.

Tunaweza na kuanza na wewe kusoma kitabu cha Dr. Harith Ghassany,
''Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru.''
 
Hiki kitabu nimekitafta sana (kwaheri ukoloni kwaheri uhuru) kipo pia kilichoandikwa na prof. Haroub othman "zanzibar & union questions" ukisoma utajua agenda za muungano wa tanzania na hutakaa uupende hicho kitu. Kudanganya kwamba hakuna zanzibar bila muungano ni uongo wa mwalimu jkn
 
Back
Top Bottom