NAMDORY Member Joined Feb 21, 2017 Posts 21 Reaction score 14 Dec 19, 2022 #1 Kambarage na Mandela, walikuwa na nia yakweli ya kujali watu na utu wao
NAMDORY Member Joined Feb 21, 2017 Posts 21 Reaction score 14 Dec 19, 2022 Thread starter #2 Mashallah,,walale pema Poponi
Vocal Fremitus JF-Expert Member Joined Oct 20, 2016 Posts 1,287 Reaction score 6,648 Dec 19, 2022 #3 Sehem pekee aliyobugi Kambarage ni pale alipoifanya Tanganyika kuungana na Znz kwa maslahi mapana ya Znz bila kujali itawacost vipi watanganyika. Otherwise he was the best!
Sehem pekee aliyobugi Kambarage ni pale alipoifanya Tanganyika kuungana na Znz kwa maslahi mapana ya Znz bila kujali itawacost vipi watanganyika. Otherwise he was the best!
dudus JF-Expert Member Joined Feb 28, 2011 Posts 23,782 Reaction score 54,213 Dec 19, 2022 #5 "... hawakuwa watu wazuri hawa"; anatuasa mzee wetu mstaafu wa chama letu.