Nyeti zingekuwa na Pass word...

kungekuwa na mita unasoma ujue mwenzi wako kapitia
au kapitiwa na wangapi,pasingekalika.............

Au kungefungwa alarm, ukianza tu inalia kule kwa mwenzako! zali lake ukirudi home, maana anakutajia hadi muda alarm ilipolia
 
Ni pale password inapo jamm na wewe ndo muhusika; sipati picha! ....una cold reboot mwili wako? teh teh

ha ha aaaaaaaaaaaaaaaa, sasa muhusika utasahauje PWD? au unakuwa nazo nyingi kwa hiyo unakuwa hukumbuki huyu yake ndo ipi?
 
inaonesha kingi utulivu ni ziro... vipi akija kusoma hii thread mke wako?
 
Kweli kaka nimesoma mada yako na kuilelwa vizur mno ila mi nacomments kidog tena mada tofauti ya hii yako kaka,kuna watu wamezuka na style mpya ya kujifanya wanawake ili waweze kuwalaghai watu so jamani tuwe makini kwani hawa watu si wema na wanahitajika kukomeshwa mapema iwezekanavyo.
 

Hii ingewezekana ingekuwa jema sana, lakini lazima mazingira yafuatayo yawepo;

1. Idadi ya wanaume na wanawake ziwe sawa.
2. Kila mwanamke ampende mwanaume mmoja tu, na kwa wanaume vivyo hivyo.
3. Kila aliyempenda mwingine, basi naye apendwe na huyo tu.
4. Na basi kila waliopendana waendane kiumri, kiasili (yaani wasiwe ndugu wa damu), na wakutane kwa wakati na mahali mwafaka.
5. Ikitokea mmoja kupoteza maisha, basi na mwenzie apoteze mapema bila kuchelewa, vinginevyo kifungu namba 1 hapo juu haitatimia.

Lakini, hata hivyo sipati picha ikiwa password hizo zitaapply kwa vijana wanafunzi...! Je, nani angezilock hizo PIN? Na atazilock vipi?
 
tena wewe inaonekana unahitaji kufuli orijino lenye pin ya sensor
 
pin ya sensor tena ur majesty Vipi tena apo kwani nimefanya nini?
 
naona maboresho anaongezeka, which is good. Mi naona kwa uwiano huu wa sasa isingeathiri kitu. Mpango wa Mungu ni tendo la ndoa ndoani na si vingine. Kama hujao/olewa itabidi uwe na subira tu. Kwa ishu ya wanafunzi haingeaply b'se hawajaingia ndoani, mkuu. suala la kifo hapo, Mungu angeweka mbadala ili aliyebaki aoe/olewe tena
 
^ hahaha Machachari? Na Na Na.. ujanja wangu wote ends there man... there is only one Guy who can turn me on ...na ni HALALI yangu...
 

Haya ni maoni tu mkuu. Lakini kwa wale wanaotaka kutumia PIN, basi wafanye haya yafuatayo ili wawe huru zaidi;

1. Wapendekeze swala la ndoa livunjwe kabisa, ili kila mmoja awe huru kuondoka na kufikia anakotaka kwa siku yeyote. Hii itawawezesha wengi kuwa na access ya kila atakacho kwa uhalali, kwani haitakuwa na mmiliki tena.

2. Waache wivu, ili waweke mioyo yao huru, na hatimaye wasiugue presha.
 
^ hahaha Machachari? Na Na Na.. ujanja wangu wote ends there man... there is only one Guy who can turn me on ...na ni HALALI yangu...
usituongopee sie watu wazima. wako wengi wanaoweza kukuwasha sema tu umeamua kustick na mmoja.

Duh! huko itakuwa mbali sana, mkuu na process yote itakuwa more complicated kuliko hivi hivi sasa
 
Hahahha nilishawahiwaza ingekuwaje kama kungekuwa na kubadilishana- mume unatoa chako unamkabidhi mke na mke watoa unamkabidhi mume kila asubuhi kabla ya kutoka kwenda kazini kisha mnarudishiana jioni mkirudi

...aaah wapi!
msingerudisha nyie ha ha ha...
 
Sisi ni binadamu tumepewa utashi hivyo hakuna sababu ya kuwa controllled.Tunatakiwa kijicontrol sisi wenyewe.
 
Nyeti zingekuwa na password ninge hack password za watu fulani fulani na kuwashughurikia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…