Nyie Amkeni, uchumi wa Kati: TZ inatengeneza Magari!

Hiyo chuma inaitwa Katambuga na ina mifumo maalum ya umeme mwingi sana hivyo hainywi, soko letu kubwa tutakapoiuza ni Uingereza, Ujerumani na Marekani...hao wengine hawana hela ya kununua hii.
 
Hiyo chuma inaitwa Katambuga na ina mifumo maalum ya umeme mwingi sana hivyo hainywi, soko letu kubwa tutakapoiuza ni Uingereza, Ujerumani na Marekani...hao wengine hawana hela ya kununua hii.
UK Dealers Needed
 
COSTECH haitoi ufadhili wa project za wanafunzi, wewe ndo hujui pamoja na matusi yote gayo
 
Labda useme ku-assemble.

Kutengeneza gari sio kitu rahisi hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…