Nyie Bahir mngekutana na Simba ya Fabrice Ngoma mngeita maji mma leo

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Hao Bahir ni kama Asas tu, hawana lolote, shida yenu walamba askirimu mmeuza uwanja, uwanja huo wameshauharibu watakaocheza kesho, hiyo Bahir ingekutana na Simba ya Fabrice Ngoma, mngeita maji mma leo.
 
Msimu uliopita Simba ilifungwa na timu kutoka Djibuti pale taifa. Sasa msinisahau sana wakati timu yenu masalo/Nyanyambovu.
Mnawalaumu KMC wakati nyie Simba mmecheza na Yanga mpira wa kwanza mmepiga golini dk 76 yaani Diara alikua kapumzika tu.
 
Msimu huu mtaishia makundi kitokana na kumiliki kikosi chenye wachezaji wa kawaida. Na huu utabakia kuwa ukweli mchungu kwenu.

Na lile Kombe aliloahidi mwekezaji wenu mbele ya Rais, litageuka kuwa kombe la kuchotea maji kwenye jaba.
 
Msimu uliopita Simba ilifungwa na timu kutoka Djibuti pale taifa. Sasa msinisahau sana wakati timu yenu masalo/Nyanyambovu.
Mnawalaumu KMC wakati nyie Simba mmecheza na Yanga mpira wa kwanza mmepiga golini dk 76 yaani Diara alikua kapumzika tu.
tunaomba matokeo sasa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…