Nyie bongofm sikieni

Nyie bongofm sikieni

fimboyaukwaju

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2020
Posts
2,977
Reaction score
3,798
Siku hizi mnatangaza taarifa ya habari saa 12 asb,sio mbaya,ila msiwape kutangaza taarifa hizo watu wasiosomea kazi ya utangazaji,kwani wanaharibu hizo taarifa ya habari,wanameza mate hovyo,wanatangaza hovyohovyo kwakuwa hawajui kitu.Chisano jr hawezi kutangaza taarifa ya habari
 
Kwani hizi sekta saiv zimekuwa za kipuuzi wanapeana kazi kwa kujuana lengo kubwa ni kukomesha wasomi ili wakose ajira wapo radhi wampe mtu ambae hana maarifa afanye iyo kazi ili kuendeleza gurudum la wasomi wakose kazi wawaseme wasemi tena na tena elimu haina maana nazani serikal haina sera nzuri za kulinda vijana wake
Inatakiwa wafanye ukaguzi kila sekta kama huna sifa hujasomea ondoka hawa ndio wanaongoza kusema elimu haina maan
 
Siku hizi mnatangaza taarifa ya habari saa 12 asb,sio mbaya,ila msiwape kutangaza taarifa hizo watu wasiosomea kazi ya utangazaji,kwani wanaharibu hizo taarifa ya habari,wanameza mate hovyo,wanatangaza hovyohovyo kwakuwa hawajui kitu.Chisano jr hawezi kutangaza taarifa ya habari
shida yake itakuwa hajajulia mic techniques ndio maana anameza meza mate
 
Back
Top Bottom