Nyie mlioenda kula sikukuu moshi acheni kutusumbua kwa kutuomba tuwatumie nauli za kurudi Mjini

Walikuwa wanajimwambafy kuwa wanazo kwa mashemeji[emoji23][emoji23][emoji23]

Struggle For Success!
Hapa Kazi tu.
 
Tena watukome kabisa. Waliondoka kwa mbwembwe ***** zao hawa. Aaaah...! Lakini kwa nini usinikumbushe jana weweeee. Kenge mmoja yuko huko kanibomu twenty nimemtumia. Aaaah...! Saaa hizi ndio unanishtua. Halafu aliondoka kimbwembwe mbayaaa,akaniachia ugwadu kenge huyu. Ungeniambia mapema we jama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
ha ha ha.mkuu hawa jamaa ni shida, jamaa zangu wawili wananisumbua toka asubuhi.nimemtoa mmoja huyo mwingine nimempotezea
 
wakuu,kuna baadhi ya hawa watu waliondoka hapa mjini kwa mbwembwe zote,sasa leo wanataka kurudi mjini wanaanza kusumbua watumiwe nauli za kurudi.
usumbufu sitaki asee...nadhani mhusika uko humu,ujumbe ukufikie.
Unafikiri utapata umaarufu wa kijinga kwa style hiyo?
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nimecheka sanaa, hii vita yake si ndogo, ngoja wakina Mangi na dada zao waje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…