Nyie mnaojiita wasomi wa JF.........


Wee kizibo huoni haya kuwa kibaraka kwa mwanaume mwenzio? Ooh hovyo
 
jf newcomers oyeee...si mkubali mmnh
Ngoja tukuachie uwanja ni wako Tanua unavyoweza mpaka ujione mwamba ila watu wazima tulishakutambua ww ni nani na kazi yako mjini ni ipi..

Kwa mjini mtu ambaye akapayuka na kutukana hadharani kama ulivyofanya ww ni kichaa na kahaba peke yake tena kahaba koko..
 
Pitaga tu km unavyipitaga kny nyuzi nyingine
 
Hakuna msomi humu msomi Tanzania n mwl nyerere aliyetuunganisha
 
usinitishe,wewe mbwa koko,naona una uchungu utadhani unataka kuzaa....sijui nimekufanya nini wewe mpuuzi,tapika unavyojiskia,usidhanie UNANITISHA KWA LOLOTE,km ni matusi kila mtu anayajua KALUME KENGE WE
Mkuu kwa maneno kama haya kuyatoa Sijui una umri gani. Jaribu kuheshimu jukwaa, toa lugha zenye staha, uwezi jua anayemtukana ni nani, yawezekana akawa mzazi wako. Kuwa mvumilivu, busara, heshima na jaribu kupunguza ukali wa maneno.
 
Mkuu kwa maneno kama haya kuyatoa Sijui una umri gani. Jaribu kuheshimu jukwaa, toa lugha zenye staha, uwezi jua anayemtukana ni nani, yawezekana akawa mzazi wako. Kuwa mvumilivu, busara, heshima na jaribu kupunguza ukali wa maneno.

asante mkuu kwa kunikumbusha....kama nimekukwaza nisamehe
 
Farrago of baloneys and vacous bancombe from gargantuan gaga.
 
ningekuheshimu kama ungeweka alternative word....English ilikuja na meli,siogopi kukosea...
There's no free service. pay for the same and I will give you a correct word. Na aliyekwambia kuwa lugha ikiwa ya kigeni unapata leseni ya kukosea ni nani? Admit your weaknesses ili ujifunze but never justify them.
I suppose unatoka Kanda Maalumu. Maana kauli zako za kimame mno.
 
Rebecca 83 mguu upande, kaa mkao wa kufyatua mtoto maana nimekupenda bure mama yangu
 
Farrago of baloneys and vacous bancombe from gargantuan gaga.

hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa mkuu umenikumbusha rafiki yangu mmoja,aliniambia rebeca mtu akikuonglesha lugha huijui akianza tu kukuongelesha mwambie enhee make it twice....lol.................na wewe mkuu nakuambia make it twice teh teh....
 
chunga usiwe urojo tu
 
physics deals with mechanical matters and dynamics.......cjui nimepatia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…