Msafiri Kasian
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 2,133
- 661
Mi nadhani ifike mahali watu watumie akili, mtu unakurupuka na kuanzisha thread yako ya ajabuajabu tu. Kwanini msitulie na kungoja hadi HESLB watoe wenyewe? Au mnataka tujue kwamba nyie ni vibaraka wa HESLB?
Ingekuwa vyema kama MODS mngewachukulia hatua wale wanaoanzisha thread zao zinazoshusha hadhi ya jukwaa hili.
Ingekuwa vyema kama MODS mngewachukulia hatua wale wanaoanzisha thread zao zinazoshusha hadhi ya jukwaa hili.