Nyie nyumba ndogo muache waume za watu wakae na familia zao kesho

NOT ENOUGH

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2010
Posts
596
Reaction score
307
Nyie wadada mnaonyemelea waume za watu tunaomba kesho siku kuu muwaache wanaume wakae na familia zao na kusheherekea. Kesho muwe wavumilivu mtafute shughuli yoyoye tu ya kufanya. Acheni ku beep na vi message visivyo na maana.

Angalizo
 
heri mimi niko single,....ntajichagulia maake hainihusu bana
 
Nyie wadada mnaonyemelea waume za watu tunaomba kesho siku kuu muwaache wanaume wakae na familia zao na kusheherekea. Kesho muwe wavumilivu mtafute shughuli yoyoye tu ya kufanya. Acheni ku beep na vi message visivyo na maana.

Angalizo

Na wewe hakikisha unamfanya wakwako atulie nyumbani tuli wala asimuwaze mwingine... Mengine mnayazalisha wenyewe bana!
 
Kama unacho cha kumkalisha hubby wako nyumbani unafikiri kuna haja ya kuwatisha hao nyumba ndogo? Jamaa atabaki mwenyewe, noma ni pale unapokuwa hauna cha kumbakisha kwani hata ukiwatisha jamaa litazuga halafu linaenda kubembeleza. Silaha unayo mwenyewe mama ila umeikalia
 
acha watoke na nyumba ndogo ili na sie tupate nafasi ya kuwa na small house zetu pia. siku hizi kutoka ni kuliana timing,tena anajidai hata simu hapigi kumbe ndo na mie staki mawasiliano. werrraaa werraa! eid njema jamani,lol
 
acha watoke na nyumba ndogo ili na sie tupate nafasi ya kuwa na small house zetu pia. siku hizi kutoka ni kuliana timing,tena anajidai hata simu hapigi kumbe ndo na mie staki mawasiliano. werrraaa werraa! eid njema jamani,lol

We shindwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Mimi nina booking na watano tena wa humuhumu jf
 
acha watoke na nyumba ndogo ili na sie tupate nafasi ya kuwa na small house zetu pia. siku hizi kutoka ni kuliana timing,tena anajidai hata simu hapigi kumbe ndo na mie staki mawasiliano. werrraaa werraa! eid njema jamani,lol

hahahahahaaaa......hakyanani King'asti unanifurahisha kweli! So baba anatoka, mama nae anatoka, na watoto je?
 
Nyie wadada mnaonyemelea waume za watu tunaomba kesho siku kuu muwaache wanaume wakae na familia zao na kusheherekea. Kesho muwe wavumilivu mtafute shughuli yoyoye tu ya kufanya. Acheni ku beep na vi message visivyo na maana.

Angalizo
na wewe uwe makini sana
1. shemeji yako asije akakutia madole
2. usije ukatoa tiGO
 
Nakwambiaje awamwachi mpaka ujue kinachomfanya atoke kwako hiyo ndio soln ya mwisho
sikuukuu njema na kitimoto njema akikisha mmekipika kimeiva kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…