Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Buku mbili tuu inatosha kulewaBia nzuri ni zipi maana huku sokoni ni mwendo wa Bigwa na unapata stimu kama zote.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Acha kiherehere . kwani huwa tunakuja kunya kwako?Namshukuru Mungu sinywi wala situmii kilevi chochote kibongobongo pombe sio ya kuendekeza sana na kiukweli ukiweza usinywe kabisa. Mwingine nyumbani kwao hata choo hakuna ila kiti. Kirefu humkosi...wenzetu Warussia haiwababaishi huku limtu linajifunzia ukubwani mshahara ukitoka unazungukwa na marafiki ukiisha wanapita hivi niliapa kwa majina ya Baba yangu sitakaa niguse kilevi chochote wacha nionekane mshamba...
Pombe inarudisha watu nyuma sana sina mda wa kujilaumu mbele ya safari...Mimi na kahawa yangu na soft drinks zangu eti ukienda mahala marafiki wananiambia this is too local nawa jibu acha huo ulocal unitokee puani ila pombe big no!...Ukienda mahali wanakunywa pombe Kali chukua redbull yako on rock tumia whisky Glass changanya na Maji kidogo wale vifata mkumbo ili usionekane unaleta inzi mezani sina ulevi wa ngono maana nawajua mtasema Niko huko...hahaaaaa haaa
Hapa duniani tupo safarini, umeona wapi mtu anajenga nyumba njiani au safarini? Tunywe beer, lakini kwa kiasi.Namshukuru Mungu sinywi wala situmii kilevi chochote kibongobongo pombe sio ya kuendekeza sana na kiukweli ukiweza usinywe kabisa. Mwingine nyumbani kwao hata choo hakuna ila kiti. Kirefu humkosi...wenzetu Warussia haiwababaishi huku limtu linajifunzia ukubwani mshahara ukitoka unazungukwa na marafiki ukiisha wanapita hivi niliapa kwa majina ya Baba yangu sitakaa niguse kilevi chochote wacha nionekane mshamba...
Pombe inarudisha watu nyuma sana sina mda wa kujilaumu mbele ya safari...Mimi na kahawa yangu na soft drinks zangu eti ukienda mahala marafiki wananiambia this is too local nawa jibu acha huo ulocal unitokee puani ila pombe big no!...Ukienda mahali wanakunywa pombe Kali chukua redbull yako on rock tumia whisky Glass changanya na Maji kidogo wale vifata mkumbo ili usionekane unaleta inzi mezani sina ulevi wa ngono maana nawajua mtasema Niko huko...hahaaaaa haaa
Bora.Haya naona sasa chalamila
Kafungua mwanza bar zifanye kazi
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji2][emoji1][emoji28]Acha kiherehere . kwani huwa tunakuja kunya kwako?
Sasa hulewi ngono furaha yako niniNamshukuru Mungu sinywi wala situmii kilevi chochote kibongobongo pombe sio ya kuendekeza sana na kiukweli ukiweza usinywe kabisa. Mwingine nyumbani kwao hata choo hakuna ila kiti. Kirefu humkosi...wenzetu Warussia haiwababaishi huku limtu linajifunzia ukubwani mshahara ukitoka unazungukwa na marafiki ukiisha wanapita hivi niliapa kwa majina ya Baba yangu sitakaa niguse kilevi chochote wacha nionekane mshamba...
Pombe inarudisha watu nyuma sana sina mda wa kujilaumu mbele ya safari...Mimi na kahawa yangu na soft drinks zangu eti ukienda mahala marafiki wananiambia this is too local nawa jibu acha huo ulocal unitokee puani ila pombe big no!...Ukienda mahali wanakunywa pombe Kali chukua redbull yako on rock tumia whisky Glass changanya na Maji kidogo wale vifata mkumbo ili usionekane unaleta inzi mezani sina ulevi wa ngono maana nawajua mtasema Niko huko...hahaaaaa haaa
Na asilimia kubwa wasokunywa ndo masikini wa kutupwa. Kunywa pombe upate akili. Sasa mtu akipata 3000 leo na hana uhakika wa kuipata kesho ndo itajenga choo.Namshukuru Mungu sinywi wala situmii kilevi chochote kibongobongo pombe sio ya kuendekeza sana na kiukweli ukiweza usinywe kabisa. Mwingine nyumbani kwao hata choo hakuna ila kiti. Kirefu humkosi...wenzetu Warussia haiwababaishi huku limtu linajifunzia ukubwani mshahara ukitoka unazungukwa na marafiki ukiisha wanapita hivi niliapa kwa majina ya Baba yangu sitakaa niguse kilevi chochote wacha nionekane mshamba...
Pombe inarudisha watu nyuma sana sina mda wa kujilaumu mbele ya safari...Mimi na kahawa yangu na soft drinks zangu eti ukienda mahala marafiki wananiambia this is too local nawa jibu acha huo ulocal unitokee puani ila pombe big no!...Ukienda mahali wanakunywa pombe Kali chukua redbull yako on rock tumia whisky Glass changanya na Maji kidogo wale vifata mkumbo ili usionekane unaleta inzi mezani sina ulevi wa ngono maana nawajua mtasema Niko huko...hahaaaaa haaa