Nyie UDOM;SOCIAL SCIENCE,HUMANITIES AND NATURAL SC. MMESHARUDI CHUONI?

Uncle Jei Jei

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2011
Posts
1,684
Reaction score
2,156
Tulipata taarifa kuwa mlitimuliwa chuoni mlipojaribu kudai haki zenu ambazo ni za muhimu kwa msomi yeyote,ila mlikuwa hamjafanya mitihani,vip mtafanya lini? Au ndo maswala ya kuunganisha semsta?
 
Nimeongeana mmoja wao anasema washarudi wako busy dunia nzima pepa limewatait utadhani hawajawahi kuingia darasani au mitihani imetunwa na Kina Plato na Aristotle!
 
tupo kwenye pepa mkuu...
<br />
<br />
dah! Pole sana na mitihani!vp na maraisi wa Social na natural sc. Wamekuja kupiga pepa!? Kila la kheri jamani haki ya mtu haipotei!nadhan na field mtaenda au bado wanabana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…