Riskytaker
JF-Expert Member
- Mar 14, 2024
- 568
- 2,522
Hua najitolea kusemea vijana jobless Tanzania ukiingia ajira portal ukaona namba ya ajira zinazotangazwa utashangaa
Nasikitika kuona mamilion ya graduates jobless wapo wamejazana UVCCM wanashangalia tu.
Vijana mnatakiwa muwe na hasira hapo Kenya tumeona waziri wao anaenda hadi Asia kutafutia vijana kazi.
Ikiwezekana wizara itoke hadharani iweke statistics za vijana walioajiriwa ndani ya miaka 5 muone madudu
Nasikitika kuona mamilion ya graduates jobless wapo wamejazana UVCCM wanashangalia tu.
Vijana mnatakiwa muwe na hasira hapo Kenya tumeona waziri wao anaenda hadi Asia kutafutia vijana kazi.
Ikiwezekana wizara itoke hadharani iweke statistics za vijana walioajiriwa ndani ya miaka 5 muone madudu