Nyie wanawake vipi, tabia mbaya hiyo!


Mi nafikiri wanawake wana ushirikiano kwenye mazuri!! ukitakata upendwe na wenzako fanya mazuri.

Sisi midume ushirikiano wetu ni kwenye mabaya tu!! ukitaka upendwe na wenzako fanya mabaya.
 
Umeona eheeee!!....... off topik........sijakuona ndugu yangu, mzima lakini????


Nimeona best, mengine ni makosa yao kabisa tena wanafanya makusudi na hapa wanatafuta justification tu ya ugoni wao!!! Kama wamejiandaa kwenda kuchakachua weekend hii wao waende tu, ila wakumbuke za mwizi ni arobaini na lazima washikwe tu!!

Mbona kuna mwenzao alianzisha uzi humu jinsi ya kumtonya rafiki yake kuwa gal wake anamsaliti na hawajasema au na yeye kawekwa kwenye kundi la wanawake?? WATUACHE JAMANI, anaeogopa kusemewa na asimsaliti mwenzie!!
 
Khaaaa! Sasa sijui wako wapi, Kipipi nimemuelekeza mpaka saa hii hajafika

kipipi ni mlinzi sungusungu sahivi yupo kazini. mi naona kikao kihairishwe. sawa katibu eeh?
 
kipipi ni mlinzi sungusungu sahivi yupo kazini. mi naona kikao kihairishwe. sawa katibu eeh?

Asante kwa kuahirisha kikao ndugu m/kiti, naandaa nondo za ukweli! Na ivi lindo la leo ni taiti, nahifadhi hasira kwa atakae tuchokoza kesho nazuka nae!! Wenye waume au vidate vyao naombeni muwatahadharishe, atakae ingilia kumi na nane zetu, namtwika marungu ya kutosha, sihitaji lawama kwa sababu niko kikazi zaidi!! Salute!!!!
 
Sentenso ya tatu from ur bottom ndyoko (forgive my inglish), unadai wengine ni makubaliano yao kuwa na small house. Sasa kama mlishakubaliana na mwenzio unapanic nini? Unatuyeyusha eeh? Utavuna unachopanda rafiki!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…