Nyie wapenz wa Ali kiba.hebu mshitueni ndugu yenu

Nyie wapenz wa Ali kiba.hebu mshitueni ndugu yenu

heaven on desert

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2013
Posts
1,025
Reaction score
393
Hata kama sio shabiki wa diamond ila
kuna kitu lazima uwe kinakuvutia
kutoka kwake.Unaweza kujitahidi
kumchukia labda kutokana na skendo
zake za nje ya muziki wake ila ukirudi
kwenye muziki wake nadhani
anastahili kuwa pale alipo.
Kuanzia muonekane wake mpaka
anavyoweza kuji-brand kimataifa na
anavyojua kucheza na akili za
mashabiki.
Wasanii wengi wa bongo flava wana
tabia ya kurithika kwa mafanikio yao
ila Diamond toka atoke na
Kamwambie mwaka 2009 mpaka 2013
amezidi kwenda juu bila kuonyesha
kusuasua wala kutetereka.
Angalia video ya number 1.Wimbo
unaweza sema ni wa kawaida kabisa
ukilinganisha na mbagala,
kamwambie au nitarejea ila akili ya
kwenda kufanya video cape
town,south africa kumeifanya nyimbo
iwe number 1 kama jina lake lilivyo.
Ushawahi kujiuliza Ali kiba yupo wapi
pamoja na kuwa kila mtu anajua ni
mkali kuliko diamond?Ali kiba toka
atoe my everything mwisho wa
mwaka jana amepotea hata video
ajatoa.Tukaja kumuona kwenye kidela
na Abdu kiba bila kurefusha maneno
Ali anashindwa kuufanya mziki wake
kama mashabiki wake wanavyotarajia
labda pengine angekuwa anafukuzana
na diamond ila matokeo yake vijana
wake kama Rich mavoko na Dimpoz
ndio wapo nyuma ya Diamond huku
Ali akibaki msanii mkali ambae
ameshindwa kuendelea kutuonyesha
ukali wake sijui anawaza nini!
Ushawahi kujiuliza kama ule wimbo
wa airtel hands across the world
waliopiga wakina r.kelly,fall ipupa,2
face kama nafac ile angeipata
diamond leo angekuwa wapi?
Diamond leo anatuletea remix ya
number 1 f.t Davido kila mtu
anaisubiri kwa hamu ila Ali alishindwa
hata kutuletea remix ya Dushelele f.t
Fally ipupa pamoja kukaa nae wiki
nzima wakifanya wimbo pamoja.
Diamond ni mjanja anaejua biasha.Diamond kaweza
kuubadilia mziki wetu kwa kiasi chake
leo ndio msanii anaelipwa pesa nyingi
kwa show.
mwisho wa siku ndip yale yale..oooh..ninarogwa.
 
umeshaikopi hii we msukule wa domo
 
frankly speaking,kamwambie na mbagala ndio nyimbo nzuri sana alizowahi kutoa diamond...kwa mtizamo wangu lakini
 
Naona maneno aliyosema Manju wa Music Masoud Masoud ktk kipindi cha Mkasi kwamba Diamond hamfikii hata robo Ally Kiba, mmeyakubari ila mnatafuta njia ya kujipoza tu. Na mimi nakubaliana na Manju kuwa kuuza au mafanikio sio sababu ya kumfanya kiba awe chini ya Daimond milele. Kama ni mfuatiliaji wa Muziki pia huwezi kumfananisha Shilole + Snura na Enika eti kwa vile Enika hajawahi kua star.
 
nyie mtachonga sana lakin hakuna msanii anayemzidi ally kiba kwa kupiga show nyingi ulaya na marekan.

pia ally kiba ni kama ay uwa awapendi kujionyesha au skendo ndio maana mnaona kama amepotea lakin yupo .

nyie kwa vile mmezoea kumsikia diamond kila siku na habari za kugegeda warembo wa bongo movies
 
Ali Kiba is talent kuliko Diamond lakini diamond anajua kutumia hicho alichonacho vizuri kuliko Ali Kiba.
 
nyie mtachonga sana lakin hakuna msanii anayemzidi ally kiba kwa kupiga show nyingi ulaya na marekan.

pia ally kiba ni kama ay uwa awapendi kujionyesha au skendo ndio maana mnaona kama amepotea lakin yupo .

nyie kwa vile mmezoea kumsikia diamond kila siku na habari za kugegeda warembo wa bongo movies


Jamaa vp wewe! Yani kiba kupiga show ulaya na US nako unaona ni sifa, show mbele hawalipwi kabisa wanapiga show kwenye basement za nyumba za watu, nilikua kwa show ya Kiba last month Houston uliza walifika watu wangapi.. Dimpoz katoka US kakiri kwamba mapato nje ni madogo compared na Tz. Kama nje kunalipa umeona AY au Fid Q wakishobokea show za nje
 
Namkubali Kiba ila kiukweli kapotea na inabidi ajipange sana kurudi, kusema anafanya mambo chini ya kapeti ila yuko safi ndio atapotea mazima kama walivyopotea kina q.chilla na tid ilhari walipaswa kuwa juu hata ya dayamondi.

Dayamondi apewe haki yake, jamaa anajua kutumia fursa ipasavyo na ni mpambanaji haswa. Sauti anayo so kusema kiba kamzidi is more of personal views na ndio msanii pekee wa bongo flavor anaeimba kwa kuzingatia uzito na vina narudia ni msanii pekee wa bongo flavor anaeimba kwa kuzingatia uzito na vina hapo wengine wote watasubiri. Period
 
Jamaa vp wewe! Yani kiba kupiga show ulaya na US nako unaona ni sifa, show mbele hawalipwi kabisa wanapiga show kwenye basement za nyumba za watu, nilikua kwa show ya Kiba last month Houston uliza walifika watu wangapi.. Dimpoz katoka US kakiri kwamba mapato nje ni madogo compared na Tz. Kama nje kunalipa umeona AY au Fid Q wakishobokea show za nje

upo sahihi kuna msanii mkuu toka Tanzania niliwai mpigisha show kwa dolla 1000 ukitoa kodi.lakin alifurahi sana kwa sababu ndio ilikuwa mara ya kwanza kufika marekani.
 
frankly speaking,kamwambie na mbagala ndio nyimbo nzuri sana alizowahi kutoa diamond...kwa mtizamo wangu lakini
Uko sahihi, wala huna haja kujihisi mkuu.


tragedy of the commons
 
Uko sahihi, wala huna haja kujihisi mkuu.


tragedy of the commons

asante mkuu, nimepitia kidogo wikipedia kujikumbusha mambo ya tragedy of commons.....In economics, the tragedy of the commons is the depletion of a shared resource by individuals, acting independently and rationally according to each one's self-interest, despite their understanding that depleting the common resource is contrary to the group's long-term best interests. The concept is often cited in connection with sustainable development, meshing economic growth and environmental protection, as well as in the debate over global warming. "Commons" can include the atmosphere, oceans, rivers, fish stocks, national parks, advertising, and even parking meters. The tragedy of the commons has particular relevance in analyzing behavior in the fields of economics, evolutionary psychology, anthropology, game theory, politics, taxation, and sociology. Some also see the "tragedy" as an example of emergent behavior, the outcome of individual interactions in a complex system.
 
Hata kama sio shabiki wa diamond ila
kuna kitu lazima uwe kinakuvutia
kutoka kwake.Unaweza kujitahidi
kumchukia labda kutokana na skendo
zake za nje ya muziki wake ila ukirudi
kwenye muziki wake nadhani
anastahili kuwa pale alipo.
Kuanzia muonekane wake mpaka
anavyoweza kuji-brand kimataifa na
anavyojua kucheza na akili za
mashabiki.
Wasanii wengi wa bongo flava wana
tabia ya kurithika kwa mafanikio yao
ila Diamond toka atoke na
Kamwambie mwaka 2009 mpaka 2013
amezidi kwenda juu bila kuonyesha
kusuasua wala kutetereka.
Angalia video ya number 1.Wimbo
unaweza sema ni wa kawaida kabisa
ukilinganisha na mbagala,
kamwambie au nitarejea ila akili ya
kwenda kufanya video cape
town,south africa kumeifanya nyimbo
iwe number 1 kama jina lake lilivyo.
Ushawahi kujiuliza Ali kiba yupo wapi
pamoja na kuwa kila mtu anajua ni
mkali kuliko diamond?Ali kiba toka
atoe my everything mwisho wa
mwaka jana amepotea hata video
ajatoa.Tukaja kumuona kwenye kidela
na Abdu kiba bila kurefusha maneno
Ali anashindwa kuufanya mziki wake
kama mashabiki wake wanavyotarajia
labda pengine angekuwa anafukuzana
na diamond ila matokeo yake vijana
wake kama Rich mavoko na Dimpoz
ndio wapo nyuma ya Diamond huku
Ali akibaki msanii mkali ambae
ameshindwa kuendelea kutuonyesha
ukali wake sijui anawaza nini!
Ushawahi kujiuliza kama ule wimbo
wa airtel hands across the world
waliopiga wakina r.kelly,fall ipupa,2
face kama nafac ile angeipata
diamond leo angekuwa wapi?
Diamond leo anatuletea remix ya
number 1 f.t Davido kila mtu
anaisubiri kwa hamu ila Ali alishindwa
hata kutuletea remix ya Dushelele f.t
Fally ipupa pamoja kukaa nae wiki
nzima wakifanya wimbo pamoja.
Diamond ni mjanja anaejua biasha.Diamond kaweza
kuubadilia mziki wetu kwa kiasi chake
leo ndio msanii anaelipwa pesa nyingi
kwa show.
mwisho wa siku ndip yale yale..oooh..ninarogwa.

Hiki ndicho alichokutuma Diamond kuja kupost hapa?

Kamuulize bwana wako wakati R Kelly anatafuta wasanii wa kutoka Africa kufanya nao featuring bwana wako Domo hawakumuona?
 
kamuulize bwana wako wakati r kelly anatafuta wasanii wa kutoka africa kufanya nao featuring bwana wako domo hawakumuona?
we jamaa ulikula ban au mbn umeadmka? Mi napendaga majibu yako ya shombo tu! Ila dont try to me
 
Hiki ndicho alichokutuma Diamond kuja kupost hapa?

Kamuulize bwana wako wakati R Kelly anatafuta wasanii wa kutoka Africa kufanya nao featuring bwana wako Domo hawakumuona?

Alifanyia nini zaidi hiyo fursa? Ndio hapo diamond anapowaficha akina kiba na wengine. Kiba wa enzi za one8 project na kiba wa sasa ni sawa?
 
sasa kimbelembele cha kumsifia kiba kuwa anapga show za nje za maana kiko wapi kama wanapewa hzo dola 1000?
mkuu yaishe apa apa tusijearibiana madili,ukweli lakin show za ndani kwa msanii mzuri zinalipa sana kuliko nje,wanachoenjoy uku nikupiga picha na kuzitupia facebook
 
Back
Top Bottom