Nyie wauza maziwa kwa nini mnaweka maji

Wengi Wanaweka Mimaji na Ungeona Mazingira Wanayokamulia Sasa. Hutakaa unywe maziwa uchwara maisha yako yote.

Kuna raia wana asili ya uchafu to the core. Yani uchafu uchafu +++


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hahaaaa, maisha bhna, wakati nipo home walikua wanakuja wamama kununua maziwa wakauze, wakichukua lita 10 wanaongeza lita5 jumla 15 wanaingia kitaa kuuza,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii tia tia maji sijui itaisha lini?!!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Kama uko kdgo in the outskirts of Dar City na Una eneo Kubwa. I highly recommend ufuge hata ng’ombe wawili...hawatakushinda. Trust me.

I have a big plot in goba kama 40 kwa 40...yani sina hata haraka nalo. Nitajenga nyumba ya mpaka uzee wangu hapo na mifugo na biashara hapo hapo By God’s Grace. [emoji1488]


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…