Nyie wazanzibari zubaeni tu

Nyie wazanzibari zubaeni tu

Megawatt B

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2011
Posts
259
Reaction score
69
Hakika bunge hili maalum ni la waunguja na wapemba. Sisi watanganyika ndo tunaongoza Tanzania ndani ya serikali mbili, Kule umoja wa mataifa haikuna bendera ya ZANZIBAR hivyo basi serikali yenu ya mapinduzi ni geresha tu. Making'ang'ania serikali mbili sisi tunaendelea kupeta tu kimataifa na kitaifa.
 
Back
Top Bottom