Msigwa Victor
Member
- Sep 24, 2019
- 5
- 9
Huyu Konde boy unayemshabikia amefikisha hiyo miaka 10 kwenye game akiwa yupo kwenye ubora?1. Harmonize -Atarudi
2. Harmonize -Sina
3. Harmonize - Mpaka kesho
4. Ibraah - Mapenzi
5. Rayvanny - Naogopa
6. Alikiba - Utu
7. Jux - Utaniua
8. Harmonize - Niambie
9. Harmonize - Never Give Up
10. Aniseti Butati - Usinikumbushe
Kabla hujakosoa nikuombe kazisikilize halafu njo unipe hongera ya kukuwekea playlist Bora kuwahi tolea kwako. Acha Mambo ya U team, Enjoy Good Music.
Team Harmonizie?1. Harmonize -Atarudi
2. Harmonize -Sina
3. Harmonize - Mpaka kesho
4. Ibraah - Mapenzi
5. Rayvanny - Naogopa
6. Alikiba - Utu
7. Jux - Utaniua
8. Harmonize - Niambie
9. Harmonize - Never Give Up
10. Aniseti Butati - Usinikumbushe
Kabla hujakosoa nikuombe kazisikilize halafu njo unipe hongera ya kukuwekea playlist Bora kuwahi tolea kwako. Acha Mambo ya U team, Enjoy Good Music.
🤣🤣🤣🤣 Jamaa hata aibu haoniHuyu Konde boy unayemshabikia amefikisha hiyo miaka 10 kwenye game akiwa yupo kwenye ubora?
Au umeamuwa kuja kujambajamba hapa baada ya kuvimbiwa makande?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu Konde boy unayemshabikia amefikisha hiyo miaka 10 kwenye game akiwa yupo kwenye ubora?
Au umeamuwa kuja kujambajamba hapa baada ya kuvimbiwa makande?