Kuna wa kisukuma 'kubhyala jawisa'
1.Lubhejo/akunda-wapare
2.Tumnogele-wanyakyusa
3.Dereva au Akanana-wahaya
4.Ndolela-wajita
5.Ni mdodo-wasambaa
Halafu unajua staili ya kuzicheza nyingi lazima mabega yacheze sana na kugonga mguu mmoja chini huku mkiwa mmetengeneza duara kama mnacheza kachiri
Bado kidogo nitaje za Rose Mhando..
mfano:-