jimmymziray
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 816
- 515
Kama kichwa cha Habari kinavyojieleza, nyimbo pekee nionavyo mimi ambayo kidogooo inaweza pambanishwa na seduce me ya ALLY KIBA ni nyimbo ya msanii huyohuyo inayoitwa AJE
kwanini nasema hivyo?
Kwasababu hapa hautagawa mashabiki, kwa vyovyote vile ukilinganisha nyimbo ya ally kiba na msanii mwingine hata kama ya ally kiba ikawa ni nzuri zaidi ya yahuyo msanii bado mashabiki wa huyo msanii watasema yao ndio nzuri,
Vivyo hivyo ikitokea nyimbo mbaya ni ya ally kiba basi mashabiki wa ally kiba hawatakubali kuwa ni mbaya, lahasha, watasema ni nzuri kuliko ya huyo msanii mwingine
Kwahyo hizi mada za kulinganisha nyimbo hazitoi majibu sahihi maana kuna ushabiki na utimu haijalishi nyimbo ni nzuri au mbaya
Pia kusema nyimbo hii ni nzuri haimaanishi wote watakubali, hapa pia utimu utakuja na still timu ya muhusika itasifia hata kama nyimbo ni mbaya na timu pinzani watakandia hata kama nyimbo ni nzuri
Cha muhimu ni kupambanisha nyimbo za msanii mmoja hasa kwa kuangalia nyimbo iliyopita na ya sasa ili tujue kuwa kapiga hatua, kabaki palepale au karudi nyuma.
Nawasilisha
kwanini nasema hivyo?
Kwasababu hapa hautagawa mashabiki, kwa vyovyote vile ukilinganisha nyimbo ya ally kiba na msanii mwingine hata kama ya ally kiba ikawa ni nzuri zaidi ya yahuyo msanii bado mashabiki wa huyo msanii watasema yao ndio nzuri,
Vivyo hivyo ikitokea nyimbo mbaya ni ya ally kiba basi mashabiki wa ally kiba hawatakubali kuwa ni mbaya, lahasha, watasema ni nzuri kuliko ya huyo msanii mwingine
Kwahyo hizi mada za kulinganisha nyimbo hazitoi majibu sahihi maana kuna ushabiki na utimu haijalishi nyimbo ni nzuri au mbaya
Pia kusema nyimbo hii ni nzuri haimaanishi wote watakubali, hapa pia utimu utakuja na still timu ya muhusika itasifia hata kama nyimbo ni mbaya na timu pinzani watakandia hata kama nyimbo ni nzuri
Cha muhimu ni kupambanisha nyimbo za msanii mmoja hasa kwa kuangalia nyimbo iliyopita na ya sasa ili tujue kuwa kapiga hatua, kabaki palepale au karudi nyuma.
Nawasilisha