Nyimbo ya Hamisa inafanya vizuri kuliko ya ruby , Ali kiba, etc - kufanikiwa ni akili sio nguvu

Nyimbo ya Hamisa inafanya vizuri kuliko ya ruby , Ali kiba, etc - kufanikiwa ni akili sio nguvu

FRESHMAN

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2011
Posts
9,137
Reaction score
34,793
habari wadau.

Now nimeelewa why kuna watu ni hard worker hawatoboi, ila kuna wengine hawatumii nguvu ila wanafanikiwa sana.

nyimbo ya hamisa mobetto mpya kiukweli hata haivutii kusikiliza.. ila huko youtube haishikiki toka imetoka juzi ni number 1 on trending tanzania nzima..

siku 3 tu ina views zaidi ya laki sita, ruby katoa nyimbo na video kali ya ntade 2 weeks zilizopita.. ila mpaka leo ina views laki nne tu, maua sama iokote ilimchukua siku 5 kufika views laki sita..

ali kiba katoa nyimbo na vijana wake.. ila imebuma huku mpuuzi hamisa anaongoza views tu..

wasanii wote wakali kina barnaba na wengineo jifunzeni fitna za instagram.. la sivyo mtabaki maskini huku wapuuzi kina hamisaa watatajirika kwa mziki huo huo mbaya mbaya tu
 
Cha ajabu toka imefika laki 6 haisogei izo viewers licha ya promo ya yule dada
 
Basi aandae show tuone awo viewers wake kama watakuja hata wakija watu elfu 10 tu bado awez kuwapata ...mtoa mada Ujielewi.
 
habari wadau.

Now nimeelewa why kuna watu ni hard worker hawatoboi, ila kuna wengine hawatumii nguvu ila wanafanikiwa sana.

nyimbo ya hamisa mobetto mpya kiukweli hata haivutii kusikiliza.. ila huko youtube haishikiki toka imetoka juzi ni number 1 on trending tanzania nzima..

siku 3 tu ina views zaidi ya laki sita, ruby katoa nyimbo na video kali ya ntade 2 weeks zilizopita.. ila mpaka leo ina views laki nne tu, maua sama iokote ilimchukua siku 5 kufika views laki sita..

ali kiba katoa nyimbo na vijana wake.. ila imebuma huku mpuuzi hamisa anaongoza views tu..

wasanii wote wakali kina barnaba na wengineo jifunzeni fitna za instagram.. la sivyo mtabaki maskini huku wapuuzi kina hamisaa watatajirika kwa mziki huo huo mbaya mbaya tu
Nawakumbusha Mange kabakiza SIKU 40 TU za kuongea na kuandika baada ya hapo hatoongea na kuandika tena - Sheikh alhad
 
Kumbe you tube tu mie nilidhan inafanya vizuri wasafi tv&radio,EFM,clouds etc
 
Uzuri ni kuwa kizuri kitaendelea kuwa kizuri tu.
Hawa wa moto wa mabua wataishia tu kama wengine waliopita.
 
Back
Top Bottom