Nyimbo ya samaki ya wazanzibar mmh!

jamani ambaye kausikia wimbo wa Futeni Machozi wa yule jamaa aliyekuwa Fine arts UD (Mwamnyenyelwa i think) auweke hapa. ni wimbo mzuri sana jamani type ya ule wa mjomba (mpoto) nikipata nauli.
huu wa samaki ni matusi matupu at least the way i think, na mbaya zaidi nikasikia ka two years old kangu kanauimba, nilitamani ardhi ipasuke niingie.
 

Mzee wimbo uko poooa.Its you and your dirty mind.Lipi tusi hapo?Au ndio umekula ngisi?
 
Mzee wimbo uko poooa.Its you and your dirty mind.Lipi tusi hapo?Au ndio umekula ngisi?

Umesoma vizuri au wewe ndio umekula ngisi? Dirty mind??
[ame="http://www.youtube.com/watch?v=XzPBUGUM7KQ"]You talkin' to me or Mtu wa pwani?[/ame]
 
He he he tuliza boli Nzokanhyilu.Ni hivi:

1.Namwambia Mtu wa Pwani.

2.Nimetumia hiyo clip uliyoweka ili naye auone tena na tena na kujiridhisha kuwa wimbo hauna mawaa.

Umekula ngisi Nzoka.

mara ya mwisho sato mazee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…