elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,261
- 9,733
Huyu jamaa anajua sana sema sijui kwanini hajaeleweka sana
Zaiid ni kichaa, nitazitafuta.Jux - utaniua (manekee kaua sana sana maana nyimbo za namna hii yeye ndo mchawi wake)
Bright - Ni wewe (huyu dogo nilikuwa na mu under estimate ila kwa hii ngoma kwakweli nimekubari ni mkali sana sana sana ngoma kali sana)
Zaiid - wowow (hii ngoma ina ubunifu mkali japo alichokiimba !!!!)
Chidbees- kababayee (hii ngoma tamu sana beat ya lufa kaua sana na zile violins)
Zaidi nimependa beat ya lufa nahisi ni beat imenfanya nipende wimbo hasa zile violin
Itafute yani lazima uipende jamaa anajua sanaZaiid ni kichaa, nitazitafuta.
Sijaiskia hata jina limentishaUmesahau MAKU ya ney wa mitego
ItafuteSijaiskia hata jina limentisha
Nimemsikia kuna nyimbo zake za awali, ana styleyake fulani hivi iko kivyake vyake.Itafute yani lazima uipende jamaa anajua sana
Sure mkuu jamaa anajua sana aisee ngoma zake zina ubunifu wa kivyake vyakeNimemsikia kuna nyimbo zake za awali, ana styleyake fulani hivi iko kivyake vyake.
Kazibuka.
Ndiyommaana nikasema dogo kichaa.
Yah niliisahau bilnasbasi sawa me SINA JAMBO...
Huyu jamaa anaandika na anaimba sana, ila wabongo ndo wamemkazia..yan hata media nyimbo zake hazisikikiHuyu jamaa anajua sana sema sijui kwanini hajaeleweka sana