Nyimbo za Mboso zimenifanya nikaharibu funga yangu

Nyimbo za Mboso zimenifanya nikaharibu funga yangu

Gily Gru

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2016
Posts
8,632
Reaction score
23,673
Binafsi sio mpenzi sana wa miziki ya kisasa ila nimezisoma sana miziki ya miaka ya 1930s mpaka 1980s na hata ya 1990s na navutiwa sana na aina hii ya miziki ikiwa kwenye ujumbe na burudani pia. Miziki ya 2000s nimesikiliza sana kabla ya 2012 ila mingi baada ya hapo naisikia sikia tu nimekuwa kidogo nje ya mziki wa kisasa.

Leo nikiwa natoka morogoro nikiwa kwenye coaster basi dereva akawa anapiga nyimbo za msanii anaitwa Mboso. Kwa kweli nimekuwa makini nikisikiliza mziki wa huyu msanii njia nzima mpaka naingia mbezi. Kufika Kijiji chas Mwidu kilichopo Ubena Zomoni nikajikuta njaa inauma sana kwa sababu ya mziki wa huyu jamaa.

Niko kwenye mfungo wa kwaresma na sijafungulia hata moja isipokuwa ya leo. Nilipoingia Chalinze tu nikajisikia utumbo unakwaruza nikajikuta nimenunua chips ili nipunguze njaa. Safari ikaendelea dereva anamkubali sana huyu jamaa au flash ilikuwa na nyimbo za Mboso tu, ile kufika Ruvu tumbo lilikuwa linanguruma mpaka abiria aliyekaa pembeni yangu akawa ananitolea macho sana. Ikabidi ninunue mahindi ya kuchoma nile kupunguza njaa.

Hizi nyimbo za huyu msanii zimenifanya nikasikia njaa sana, akiimba kidogo mara, wa mafuuta ya karafuu Nikichoka ananikanda kwa mabarafu Maajabu maajabu, penzi lake la ajabu Maajabu, yani nilipofika Mlandizi hujui kuwa una genye au una njaa.
 
Shombe shombe
Mtoto laini laini
Nalegea
Ikigusana yangu na yako
Yangu na yako

Futa la nazi ujipare honey
Nguru usimtoe chumvi ndio ladha yake
Muunge tu nipe na chuzi na nyama yake
Eeh kula ya mbuzi ni kamba yake

Kama Kikogwa nitala na Chumvi
Ate ate ate atee
Vimboga mboga Sangara Uduvi
Ate ate ate atee

Salama ulizonitumia zimenifika aah niko salama ata usijal nalishwa
vitamu vinono najilia aah biriani ya ngamia
 
Shombe shombe
Mtoto laini laini
Nalegea
Ikigusana yangu na yako
Yangu na yako

Futa la nazi ujipare honey
Nguru usimtoe chumvi ndio ladha yake
Muunge tu nipe na chuzi na nyama yake
Eeh kula ya mbuzi ni kamba yake

Kama Kikogwa nitala na Chumvi
Ate ate ate atee
Vimboga mboga Sangara Uduvi
Ate ate ate atee

Salama ulizonitumia zimenifika aah niko salama ata usijal nalishwa
vitamu vinono najilia aah biriani ya ngamia
Mbosso ana ngoma tamu sana
 
Shombe shombe
Mtoto laini laini
Nalegea
Ikigusana yangu na yako
Yangu na yako

Futa la nazi ujipare honey
Nguru usimtoe chumvi ndio ladha yake
Muunge tu nipe na chuzi na nyama yake
Eeh kula ya mbuzi ni kamba yake

Kama Kikogwa nitala na Chumvi
Ate ate ate atee
Vimboga mboga Sangara Uduvi
Ate ate ate atee

Salama ulizonitumia zimenifika aah niko salama ata usijal nalishwa
vitamu vinono najilia aah biriani ya ngamia
Haka kambossso kanapenda sana kutaja vyakula kila nyimbo utasiki kalimati , kashat n.k
 
"Ikisuguana yako na yangu" what a line?

Nyimbo za mapenzi zenye mambo ya kishenzi siziwezi.....ZIMAAA

Miziki mingi ime base kwenye mapenzi kwa sababu wasikilizaji wengi wanaonekana kupenda kusikia nyimbo hizi
Wanamziki wanatakiwa wabadilike waguse jamii kwa aina nyingi tofauti
 
Haka kambossso kanapenda sana kutaja vyakula kila nyimbo utasiki kalimati , kashat n.k
Kufika Dar nilikuwa ugali wa kushiba, nilijikuta njaa inauma sana
 
Nataka longa na Wewe
Nikufunze Mapenzi
Mwenzako nayajua
Nataka sema nawe
Nikufunze Penzi Mimi ninalijua
Nipe nikubembeleze Kama mtoto ng'ara
Kwa raha zako ujinenepee
Nikushike Pendo lisiteleze likagaragara
Wabaya Macho Wasisogelee
Aaaaah Ah
Twende Zanzibar Comorro Mombasa
Tucheze Zumari Ndombolo Chakacha
Nikupe Michezo hatari Uzidi Takata
Tuwe ng'aring'ari Dangote Tanasha
Kama Kikogwa nitala na Chumvi
Ate ate ate atee
Vimboga mboga Sangara Uduvi
Ate ate ate atee
Eeeeh iyanaaa iyaaaa
Ate ate ate atee
Iyaaana iyaaaaa
Ate ate ate atee
Mhh mhhh mhh mhhh mhhh
Mimi Daktari
Daktari wa Mapenzi
Dozi yangu temethali
Inatibu na kuenzi
Mhh
Yangu Tamu tamu bila Kuchanjia
Chachu Kwa Kudambulia
Swafi kwa Kuitumia ni Salama
Kama Buble Gum utatafunia
Ndafu kwa kusukumia
Mhh Chakurumagia
Kinyama
Penzi liogelee hii bahari Salama
Selelea Se
Tuelee mioyo isiende mrama
Selelea Se
Tule tujisosomoe nyama nyama za Shawarma
Selelea Se
Habib Seleleaaa
Twende Zanzibar Comorro Mombasa
Tucheze Zumari Ndombolo Chakacha
Nikupe Michezo hatari Uzidi Takata
Tuwe ng'aring'ari Dangote Tanasha
Aaaaah Ah
Kama Kikogwa nitala na Chumvi
Ate ate ate atee
Vimboga mboga Sangara Uduvi
Ate ate ate atee
Eeeeh iyanaaa iyaaaa
Ate ate ate atee
Iyaaana iyaaaaa
Ate ate ate atee
Jamaa mwali Kang'ang'ania
Anaitaka
Mmhh Analilia
Anaitaka
Oooh Kashikilia
Anaitaka
Nimpe Yote yote
Yani nzima nzima
Anaitaka
Oooh Kulamba lamba
Anaitaka
Chocolate Ya maziwa
Anaitaka
Yote yote
 
Nataka longa na Wewe
Nikufunze Mapenzi
Mwenzako nayajua
Nataka sema nawe
Nikufunze Penzi Mimi ninalijua
Nipe nikubembeleze Kama mtoto ng'ara
Kwa raha zako ujinenepee
Nikushike Pendo lisiteleze likagaragara
Wabaya Macho Wasisogelee
Aaaaah Ah
Twende Zanzibar Comorro Mombasa
Tucheze Zumari Ndombolo Chakacha
Nikupe Michezo hatari Uzidi Takata
Tuwe ng'aring'ari Dangote Tanasha
Kama Kikogwa nitala na Chumvi
Ate ate ate atee
Vimboga mboga Sangara Uduvi
Ate ate ate atee
Eeeeh iyanaaa iyaaaa
Ate ate ate atee
Iyaaana iyaaaaa
Ate ate ate atee
Mhh mhhh mhh mhhh mhhh
Mimi Daktari
Daktari wa Mapenzi
Dozi yangu temethali
Inatibu na kuenzi
Mhh
Yangu Tamu tamu bila Kuchanjia
Chachu Kwa Kudambulia
Swafi kwa Kuitumia ni Salama
Kama Buble Gum utatafunia
Ndafu kwa kusukumia
Mhh Chakurumagia
Kinyama
Penzi liogelee hii bahari Salama
Selelea Se
Tuelee mioyo isiende mrama
Selelea Se
Tule tujisosomoe nyama nyama za Shawarma
Selelea Se
Habib Seleleaaa
Twende Zanzibar Comorro Mombasa
Tucheze Zumari Ndombolo Chakacha
Nikupe Michezo hatari Uzidi Takata
Tuwe ng'aring'ari Dangote Tanasha
Aaaaah Ah
Kama Kikogwa nitala na Chumvi
Ate ate ate atee
Vimboga mboga Sangara Uduvi
Ate ate ate atee
Eeeeh iyanaaa iyaaaa
Ate ate ate atee
Iyaaana iyaaaaa
Ate ate ate atee
Jamaa mwali Kang'ang'ania
Anaitaka
Mmhh Analilia
Anaitaka
Oooh Kashikilia
Anaitaka
Nimpe Yote yote
Yani nzima nzima
Anaitaka
Oooh Kulamba lamba
Anaitaka
Chocolate Ya maziwa
Anaitaka
Yote yote
Umetisha mzee
 
Bora ya kusikiliza kwaya kuliko hizi nyimbo za bongo fleva
 
Kuna kile kipande alichoimba kwenye jibebe:

"Baby papasa kichwa jusi kafiri nisafishe mtaro ulivyojaza nyuma fungu mbili nyanya za masalo"

Ila hawa WCB nyimbo zao ni mahaba na matusi flani ambayo inabidi uwe msikivu kubaini..kuhusu Mboso kuimba vyaluka amenikumbusha Inspekta Haruni a.k.a Babu nae alikua lazima kwenye nyimbo zake achomekee misosi..
Mkuu ushawahi kula "Shawarma"?
 
Kuna kile kipande alichoimba kwenye jibebe:

"Baby papasa kichwa jusi kafiri nisafishe mtaro ulivyojaza nyuma fungu mbili nyanya za masalo"

Ila hawa WCB nyimbo zao ni mahaba na matusi flani ambayo inabidi uwe msikivu kubaini..kuhusu Mboso kuimba vyaluka amenikumbusha Inspekta Haruni a.k.a Babu nae alikua lazima kwenye nyimbo zake achomekee misosi..
Mkuu ushawahi kula "Shawarma"?
😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃
 
Kuna kile kipande alichoimba kwenye jibebe:

"Baby papasa kichwa jusi kafiri nisafishe mtaro ulivyojaza nyuma fungu mbili nyanya za masalo"

Ila hawa WCB nyimbo zao ni mahaba na matusi flani ambayo inabidi uwe msikivu kubaini..kuhusu Mboso kuimba vyaluka amenikumbusha Inspekta Haruni a.k.a Babu nae alikua lazima kwenye nyimbo zake achomekee misosi..
Mkuu ushawahi kula "Shawarma"?

Hizi nyimbo huwezi ukapiga ukiwa na watu wazima unaowaheshimu ni za mapenzi ya ndani kabisa
 
Back
Top Bottom