Huwezi kufanikiwa kwa kuiga Iga, miziki ya uswazi kama Singeli ni katika miziki ambayo ni OG kabisa. Mtu yoyote kimataifa akiusikiliza lazima ahisi hiki kitu kipya.Nilishangaa sana kuimbwa kwa nyimbo yenye maudhui ya mke mtu sumu kwenye ufunguzi wa jukwaa kubwa kama la African Football League linalotazamwa na dunia nzima...
Yaan mpaka waseme [emoji16][emoji16]Na Bado Hamjasema...
hata yule mbana pua kiba hana hadhi ya kutumbuiza kwenye shughuli kama ile. mjombamjomba angefaa zaidi.Nilishangaa sana kuimbwa kwa nyimbo yenye maudhui ya mke mtu sumu kwenye ufunguzi wa jukwaa kubwa kama la African Football League linalotazamwa na dunia nzima.
Kuweka nyimbo za vigodoro kwenye jukwaa kubwa hivi tulifeli pakubwa sana na kujiaibisha. Nyimbo za kuweka katika majukwaa ya kimataifa zinapaswa kuwa classic na kuonyesha hali ya uki-mataifa.
Sijasema tuige mahali, pia mzuki kuwa OG haina maana ni mzuri au unakidhi kiwango cha kimataifa, unaweza kuwa ni utumbo tu pia . Nchi zilizoendelea anakotoka Infantino mke wa mtu sio sumu.Huwezi kufanikiwa kwa kuiga Iga, miziki ya uswazi kama Singeli ni katika miziki ambayo ni OG kabisa. Mtu yoyote kimataifa akiusikiliza lazima ahisi hiki kitu kipya.
Wabongo hawajisumbuagi kuumiza kichwa ili kuleta kilicho Bora machoni pa watu na kimataifa, hawanaga jicho la Mbali kbs kwenye mambo muhimu km hayoNilishangaa sana kuimbwa kwa nyimbo yenye maudhui ya mke mtu sumu kwenye ufunguzi wa jukwaa kubwa kama la African Football League linalotazamwa na dunia nzima.
Kuweka nyimbo za vigodoro kwenye jukwaa kubwa hivi tulifeli pakubwa sana na kujiaibisha. Nyimbo za kuweka katika majukwaa ya kimataifa zinapaswa kuwa classic na kuonyesha hali ya uki-mataifa.
Muziki siyo ujumbe tu! Muziki ni mdundo, sauti, ujumbe, nk. Kama ingekuwa muziki ni ujumbe pekee, basi vijana wa zamani kama sisi tusingeipenda miziki ya Wakongomani, ya Kihindi, ya Kizungu, nk!Nazungumzia maudhui,
Mke wa mtu sumu haina universality, ni mambo ya Kiswahili zaidi.