Nyimbo zetu Praimary sent kayumbaa..enzi izo!

Nyimbo zetu Praimary sent kayumbaa..enzi izo!

mkonowapaka

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2010
Posts
1,492
Reaction score
768
jamani leo nimekaa na dogo mmoja apa home anasoma hizi sent nanihii with usafiri hadi mlangoni..mara ghafla inanijia picha enzi izo nasoma vidudu hadi primary kulee kijijin kwetu....aah nimecheka sana!!

kwanza kulikua na vinyimbo flani hivi common sana kuimbwa achilia mbali ngoma za kutamaduni na mambo kama hayo...mtaniwia radhi sent nanihii...

ujue kwanza ile asubuhi ilikua lazima ubebe kuni na maji hawatajali umevaa ndala wala raio..uache daftari kwenu uje na kigazet they dont care..kali zaidi kipindi cha mavuno mnabeba mazo mnapeleka shule...wee mwalim nanihii wewe ndo maana huzeeki!!

nirudi kwenye nyimbo sasa:

wa kwanza:'kijani kibichii chaa mplilipiiili shule yetu ina raha mama weee iliyo kando yaa barabara..kando ya elimu yapita bila shiidaa...'sijui inaendeleaje apo

mwingine ule wa kuagwa saa 6 hahaa.......'saa imefiika ya kweenda nyumbaniii..mama amepika waali na nyamaa na nini sijui,..'baada ya hapo ni mbio hadi kwenu..hahaaaaaa maisha yale najua bado yapo lakini very interesting!!!

tukumbushane baadhi ya nyimbo zingine..........wale wa st nanihii samahanini kwa leo!!mnajua Musa Neema and Baraka kwanza>??

hahaaaaaa wkend njemaaaa
 
  • Thanks
Reactions: JS
Unanikumbusha stori za Juma na Roza,Damasi na Lusi,,,,na adhabu za kushika masikio.Du!
 
  • Thanks
Reactions: JS
Nakumbuka moja, "Mabata madogo madogo yanaogelea, yanaogelea ktk shamba zuri la bustani. Yanapenda kulia kwakwa-kwakwa, ..."

Ok nimekumbuka na mwingine, "Maua mazuuuuuuri yapeeeeeendeza, ukiyatizama yanameremeta ......".

Du shule enzi hizo ilikuwa poa sana!
 
  • Thanks
Reactions: JS
Alisemaaa alisema
alisema nyerere alisema
vijana wangu wote mmelegea
ni sharti tuanze mchaka mchaka ... chinja
 
  • Thanks
Reactions: JS
Dah,KWELI NI KITAMBO CHA AINA YAKE! ILIKUWA RAHA JAMANI.....
 
Kibangaaa ampiga mkoloni, kibanga ampiga mkoloni.....................

Pia kuna mmoja tuliwahi kufundhiswa kumuimbia Mrema wakati ule akiwa waziri kwa mzee mwenye kabla ya vyama vingi "......Tunamsifu Mrema, kama alivyosema kuwahi makazini, baba Mrema hongeraaaaaa...." long time kitambo
 
Enzi hizo tukimaliza masomo lazima tuimbe wimbo huu "Sasa sasa saa ya kwenda kwetu kwaheri mwalimu kwaheri tutaonana kesho!" Kesho, kesho.................... Tukitoka hapo ni nduki hadi home, kuwahi msosi kabla haujavaa koti.
 
Nakumbuka zile story za Mussa na Neema na Mdogo wao Baraka na Baba yao Mr. Daudi na Mama yao Mrs. Daudi.
Unakumbuka ule wimbo wa kumuimbia Mussa:
''are u sleeping*2 brother Mussa*2,morning bells are ringing,ndindondi''.
 
Sikiri na Sadiki, darasa la 3.
Mimi ni Mariam, mwanzo wa mwaka huu nilianza shule, chopeko na mnofu darasa la 2, mpapai na upepo, maskio ya mfalme marefu....

Duh, ilikuwa nzuri sana, kidumu cha maji daily, ufagio wa nje daily, kuni kila jumatano, jembe msimu wa kilimo, kukaguliwa usafi wa kucha, meno, na nguo. Kama huna mfuko wa madaftari unabeba mgongoni.
Kipndi hicho kila takataka inaliwa maembe mabichi, limao, tunda pori zote, dengu za kukaanga, vibalagala, n.k
 
jamani leo nimekaa na dogo mmoja apa home anasoma hizi sent nanihii with usafiri hadi mlangoni..mara ghafla inanijia picha enzi izo nasoma vidudu hadi primary kulee kijijin kwetu....aah nimecheka sana!!

kwanza kulikua na vinyimbo flani hivi common sana kuimbwa achilia mbali ngoma za kutamaduni na mambo kama hayo...mtaniwia radhi sent nanihii...

ujue kwanza ile asubuhi ilikua lazima ubebe kuni na maji hawatajali umevaa ndala wala raio..uache daftari kwenu uje na kigazet they dont care..kali zaidi kipindi cha mavuno mnabeba mazo mnapeleka shule...wee mwalim nanihii wewe ndo maana huzeeki!!

nirudi kwenye nyimbo sasa:

wa kwanza:'kijani kibichii chaa mplilipiiili shule yetu ina raha mama weee iliyo kando yaa barabara..kando ya elimu yapita bila shiidaa...'sijui inaendeleaje apo

mwingine ule wa kuagwa saa 6 hahaa.......'saa imefiika ya kweenda nyumbaniii..mama amepika waali na nyamaa na nini sijui,..'baada ya hapo ni mbio hadi kwenu..hahaaaaaa maisha yale najua bado yapo lakini very interesting!!!

tukumbushane baadhi ya nyimbo zingine..........wale wa st nanihii samahanini kwa leo!!mnajua Musa Neema and Baraka kwanza>??

hahaaaaaa wkend njemaaaa
mkuu kijijini kwenu kulikuwa na vidudu?naomba muongozo ni kijiji gani hicho au kijiji cha makumbusho pale kijitonyama??
enzi hizo kulikuwa na shule bwana english media ni kama arusha school na sio vi sant nanihii vya sasahivi.
 
Back
Top Bottom