Nyoka ndiye mmliki wa madini na tiba ambazo tukizijua basi tutaishi muda mrefu Duniani

Nyoka ndiye mmliki wa madini na tiba ambazo tukizijua basi tutaishi muda mrefu Duniani

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Nyoka ndio mmliki mkubwa wa madini na tiba duniani.watu wengi watajiuliza kwa nini ni mmliki wa madini na tiba.

BIBLIA
Yesu alisema hivi: “Na kama vile Musa alivyomwinua yule nyoka jangwani, vivyo hivyo Mwana wa Adamu hana budi kuinuliwa; ili kila mtu aaminiye awe na uzima wa milele katika yeye. [Yoh3:14], Marko 16:17-18 na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo; watasema kwa lugha mpya; watashika nyoka; hata wakinywa kitu cha kufisha, hakitawadhuru kabisa; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapata afya.

KWANINI BWANA YESU ALISEMA "TUWE NA BUSARA KAMA NYOKA?" (Mathayo 10:16)

maxresdefaultaaaaaa.jpg


Nyoka ametajwa kwenye sehemu nyingi za maandiko sehemu nyingi mfano:

Screenshot 2024-06-08 110329.png


Wengi wetu tumekuwa tukitafsiriwa nyoka vibaya ila elimu ya jicho la tatu lina eleza ukweli kuhusu nyoka na umiliki wa madini na tiba.

Sehemu ambapo kuna madini au mimea ya tiba uwepo wa nyoka ni mkubwa sababu wao ndio wanajua yapo wapi. Nyoka anafahamu madini na tiba

8bab345e3962a77f1735053be7366d29.png


Nimejaribu kueleza kidogo maana sio muelezaji mzuri wa kuandika
 
Nyoka ndio mmliki mkubwa wa madini na tiba duniani.watu wengi watajiuliza kwa nini ni mmliki wa madini na tiba.

BIBLIA
Yesu alisema hivi: “Na kama vile Musa alivyomwinua yule nyoka jangwani, vivyo hivyo Mwana wa Adamu hana budi kuinuliwa; ili kila mtu aaminiye awe na uzima wa milele katika yeye. [Yoh3:14], Marko 16:17-18 na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo; watasema kwa lugha mpya; watashika nyoka; hata wakinywa kitu cha kufisha, hakitawadhuru kabisa; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapata afya.

KWANINI BWANA YESU ALISEMA "TUWE NA BUSARA KAMA NYOKA?" (Mathayo 10:16)

View attachment 3011641

Nyoka ametajwa kwenye sehemu nyingi za maandiko sehemu nyingi mfano:

View attachment 3011646

Wengi wetu tumekuwa tukitafsiriwa nyoka vibaya ila elimu ya jicho la tatu lina eleza ukweli kuhusu nyoka na umiliki wa madini na tiba.

Sehemu ambapo kuna madini au mimea ya tiba uwepo wa nyoka ni mkubwa sababu wao ndio wanajua yapo wapi. Nyoka anafahamu madini na tiba

View attachment 3011660

Nimejaribu kueleza kidogo maana sio muelezaji mzuri wa kuandika
Huyo alowekwa kwenye sindani sio nyoka bali ni mnyoo
 
Back
Top Bottom