Hahaha nmefrahHehe!ha
Mkuu umekosea sasa
Title ilitakwa iwe ya kutisha kidogo kama hivi
DUNIA KUANGAMIA;JOKA LA KUTISHA ZAIDI LIMETOROKA MAABARA
Halafu badala ya 'Geo' ungeweka kitu kama NGSS-Anaconda-Academy yaani ilimradi tu,kutisha watu
Au anaongezeka urefu wa kM 5 kila sekunde
Mbona ungewapata vichaa wenzako..!
Hapo ss ntakua nmezidisha chumviUkitaka uongo wako upendeze na ufanane na ukweli ungesema, nyoka huyu ni hatari sana hata kwa Simba, chui na jamii zote za tai wanaokula Nyama na samaki. Maana kama risasi, kemikali na mabomu hayawezi kumuua hapo lazima watu wote tungeamini.