Hizo zana za kumuadabisha mwizi nyoka akiibuka hapo huchukui hata moja.Mi nimekaa namvizia nyoka nimakate kate ameingia dukani ila sijui alipo jichimbiaView attachment 2584424
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Unauhakika? Yaani mashambani na hivyo vitu wapi na wapi?Ungemwagia Mafuta na Maji ya Mwamposa. Na ungempiga picha
Ameniletea mbwembwe hapo miguuni ikabidi nitulie, na sio ujasiri hapana miguu iligoma kufanya chochote.Hao nyoka wa mistari wana tabia hizo za kukatiza miguuni unapotembea. Sijawahi kusikia wameng'ata
Mtu. Mwanza wapo wengi
Nimerudi nyumbani chap ikanibidi niingie chimbo.Unavyohisi huyo mjusi na nyoka ni washkaji tu au kunalaziada linaendelea maana wanatokaje kichakani wanafuatana,kunakitu walikuwa wanafanya wewe ndio umewakurupua
Maji ya Mwamposaš¤£Ungemwagia Mafuta na Maji ya Mwamposa. Na ungempiga picha