Katika kuhakikisha wanafunzi wa elimu ya juu wanatimiza ndoto zao Serikali ya Rais Samia Suluhu imekuja na Suluhu.
Rais Samia Suluhu ameidhinisha nyongeza ya TZS bilioni 84 kwa wanafunzi 42,000 waliokuwa na changamoto ya mikopo ya elimu ya juu, nchi nzima. Wanafunzi waliokusudiwa awali walikuwa 28,000 pekee lakini mama ameamua kuongeza idadi ili kila mwananfunzi apate haki yake na aweze kutimiza ndoto zake.
Lengo la kuongeza mikopo hii ni kuhakikisha Tanzania inazalisha wasomi wengi zaidi, kwa juhudi hizi za Rais Samia Suluhu katika sekta ya elimu ameupiga mwingi sana sekta ya elimu imeimarika kutoka shule ya msingi mpaka vyuo vikuu.
Rais Samia Suluhu ameidhinisha nyongeza ya TZS bilioni 84 kwa wanafunzi 42,000 waliokuwa na changamoto ya mikopo ya elimu ya juu, nchi nzima. Wanafunzi waliokusudiwa awali walikuwa 28,000 pekee lakini mama ameamua kuongeza idadi ili kila mwananfunzi apate haki yake na aweze kutimiza ndoto zake.
Lengo la kuongeza mikopo hii ni kuhakikisha Tanzania inazalisha wasomi wengi zaidi, kwa juhudi hizi za Rais Samia Suluhu katika sekta ya elimu ameupiga mwingi sana sekta ya elimu imeimarika kutoka shule ya msingi mpaka vyuo vikuu.