Nyongeza ya Mshahara (Annual Increments)

Nyongeza ya Mshahara (Annual Increments)

smttz

Member
Joined
Sep 9, 2024
Posts
67
Reaction score
101
Kuna tetesi kwamba Nyongeza ya Mshahara (Annual Increments), itafanyika kwa kila mlengwa kwa kuzingatia mwezi wa ajira ya mwajiriwa....Kwa mfano kama uliajiriwa mwezi wa tano, basi Nyongeza hiyo utahusika nayo mwezi husika na sio kwa kuzingatia mwaka wa fedha wa serikali,kama ilivyozoeleka.
-Hii imekaaje wadau? najua humu jukwaani tunao watu wenye taarifa za ndani za wapanga sera.

Siku iwe njema kwenu wote.
 
Kuna tetesi kwamba Nyongeza ya Mshahara (Annual Increments) ,itafanyika kwa kila mlengwa kwa kuzingatia mwezi wa ajira ya mwajiriwa....Kwa mfano kama uliajiriwa mwezi wa tano, basi Nyongeza hiyo utahusika nayo mwezi husika na sio kwa kuzingatia mwaka wa fedha wa serikali,kama ilivyozoeleka.
-Hii imekaaje wadau? najua humu jukwaani tunao watu wenye taarifa za ndani za wapanga sera.

Siku iwe njema kwenu wote.
Yaani kama Umeajiriwa mwezi wa 6 ndio mpaka mwakani eti!??.... Sidhani kama ni ukweli....
 
Wakati tunasubiri hayo majibu pia kunatetesi kuwa mwezi wa kumi kuna annual increments. Mtaalamu atuweke sawa
 
Mwaka huu hio Annual increment haijaonekana.
 
Yawezekana. Me niliajiriwa July na increment nimeiona July, japo ni hela ya vocha.
 
Yawezekana. Me niliajiriwa July na increment nimeiona July, japo ni hela ya vocha.
Hakuna kitu Cha hivyo... Annual Increments haijalishi umeajiliwa lini.. ni PANDO la daraja kila mwaka ..ni upuuuzi wetu tu tunafurahi mama anaupiga mwingi...
 
Back
Top Bottom