Nyongo nyongo nyongo

client3

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2007
Posts
2,331
Reaction score
3,188
Nasumbuliwa sana na nyongo iliyozidi,dalili kubwa nilizonazo ni kucheuwa kitu kichungu sana, loss of appetite,kichefuchefu,tumbo kujaa gas, na tumboni nahisi kama kuna kitu kinazunguka.
msaada jamani kwa home remedies kabla sijaenda hospital.
 
Nasumbuliwa sana na nyongo iliyozidi,dalili kubwa nilizonazo ni kucheuwa kitu kichungu sana, loss of appetite,kichefuchefu,tumbo kujaa gas, na tumboni nahisi kama kuna kitu kinazunguka.
msaada jamani kwa home remedies kabla sijaenda hospital.

Mkuu ni vyema ukaenda hospitali ili kuweza kupimwa na kugundilika nini tatizo, inaweza kuwa labda ni infection ya gallbladder, mfuko wa nyongo ama kuna mawe yamejitengeneza kwenye mfuko wa nyongo na hayo yote huleta dalili ulizozitaja, kichefuchefu, tumbo kujaa gesi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…