Nyongo

Nyongo

babulakibaha

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2012
Posts
287
Reaction score
326
Habari Wakuu. Nini chanzo cha nyongo kujaa kwenye tumbo na kusababisha chakula kisisagwe vizuri, kisha unaharisha na kucheua harufu ya ajabu. Naomba ufafanuzi wa kitaalum ikiwezekana tiba. Wasalaam.
 
Back
Top Bottom