Nyota 22 Simba kuifuata CS Constantine Algeria, CAFCC

Nyota 22 Simba kuifuata CS Constantine Algeria, CAFCC

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Kikosi cha Simba kitasafiri Alfajiri ya December 5, 2024 kwenda Algeria ambapo itacheza mchezo wa pili hatua ya makundi Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya CS Constantine.
IMG_1225.jpeg

Kikosi kitaondoka na nyota 22 kuzisaka pointi tatu nyingine kwenye Uwanja wa Mohamed Halaoui Desemba 8 kuanzia saa 1:00 Usiku.
IMG_1224.jpeg

Huu utakuwa mchezo wa pili kwa timu zote mbili ikiwa simba ilicheza mchezo wa kwanza dhidi ya FC Bravos na kushinda kwa bao 1-0 huku CS Constantine ikishinda dhidi ya CS Sfaxien kwa bao 1-0

Msimamo wa kundi A upo hivi:

1. CS Constantine - 3
2. Simba SC - 3
3. FC Bravos - 0
4. CS Sfaxien - 0

Namba ni alama walizovuna kwenye mechi ya kwanza.
 
KIKOSI CHANGU CHA USHINDI:

1.Musa camara
2.Shomari kapombe
3.Muhamedi husseni
4.Che malone fondoh
5.Abdulrazack hamza
6.Augustine okejepha
7.Kibu denis
8.Fabrice ngoma
9.Leonel ateba
10.Jean ahoua
11.Edwin balua(counter attack)

"SIMBA NGUVU MOYA~JUAN INFANTINO SHABIKI NA MWANACHAMA WA SIMBA"
 
Kikosi cha Simba kitasafiri Alfajiri ya December 5, 2024 kwenda Algeria ambapo itacheza mchezo wa pili hatua ya makundi Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya CS Constantine.
View attachment 3168396
Kikosi kitaondoka na nyota 22 kuzisaka pointi tatu nyingine kwenye Uwanja wa Mohamed Halaoui Desemba 8 kuanzia saa 1:00 Usiku.
View attachment 3168394
Huu utakuwa mchezo wa pili kwa timu zote mbili ikiwa simba ilicheza mchezo wa kwanza dhidi ya FC Bravos na kushinda kwa bao 1-0 huku CS Constantine ikishinda dhidi ya CS Sfaxien kwa bao 1-0

Msimamo wa kundi A upo hivi:

1. CS Constantine - 3
2. Simba SC - 3
3. FC Bravos - 0
4. CS Sfaxien - 0

Namba ni alama walizovuna kwenye mechi ya kwanza.
655f6d15-4f19-4844-b1ef-26b9242d3143.jpeg
 
Back
Top Bottom