Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,485
Mbao bwana weeee!Mmmmm, Sembo nakuonea huruma maana huwa unajitahidi sana kuwapamba, lakni wanakuja kukugeuka.
Hahaha.. Jamaa washasahau kabisa kama kuna kiumbe anaitwa Chirwa
Leo hii okwi kawa cr 7??Daah nimekubali.. 😬😬Hahaha.. Mkuu kama tukiandika ukweli mnaita mahaba.. Sasa tukiweka mahaba menyewe sijui mtaita nini!?
Mkuu hili jina sijampata mimi. Aliyempatia hilo jina ni Kocha bora kabisa kuwahi kushuhudiwa nchini Serbia, ambae pia alishawahi kufundisha Yanga, Mtalamu Micho. Na hii ilikua mwaka 2015.Leo hii okwi kawa cr 7??Daah nimekubali.. 😬😬
Kwani micho si bado kocha wa Uganda?? kama ni bado basi ipo wazi kabisa.. anampaka mafuta kwa mgongo wa chupa!.. okwi alikuwa wa moto zamani sio sasa...Mkuu hili jina sijampata mimi. Aliyempatia hilo jina ni Kocha bora kabisa kuwahi kushuhudiwa nchini Serbia, ambae pia alishawahi kufundisha Yanga, Mtalamu Micho. Na hii ilikua mwaka 2015.
Source: Emmanuel Okwi is the Ugandan version of Cristiano Ronaldo - Uganda Cranes Coach Micho
Kwa sasa jamaa wana kocha mwingine, na si Micho. Lengo la kukuwekea hiyo source ni kujibu hill swali...Kwani micho si bado kocha wa Uganda?? kama ni bado basi ipo wazi kabisa.. anampaka mafuta kwa mgongo wa chupa!.. okwi alikuwa wa moto zamani sio sasa...
Mkuu huyu jamaa u'CR7 anao tangu mda sana.. Na wahenga sana msemo wao.. 'Ukipewa.. Umepewa'.Leo hii okwi kawa cr 7??Daah nimekubali.. 😬😬
Pw pw umeshinda Mzeebaba bwana sembo.. mnazi wa simba..Kwa sasa jamaa wana kocha mwingine, na si Micho. Lengo la kukuwekea hiyo source ni kujibu hill swali...
Mkuu huyu jamaa u'CR7 anao tangu mda sana.. Na wahenga sana msemo wao.. 'Ukipewa.. Umepewa'.
Hana kiwango cha kuchezea timu yake ya taifa kiwango chake ni kuichezea vyura fc [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hivi yule Mwaikambo hajaitwa DRC hata timu ya Ndombolo?[emoji196][emoji196][emoji16][emoji16]
Assist ya Okwi aka CR7Goal
Dk 87: Guinea 2-0 Rwanda