Kyambamasimbi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 762
- 1,597
Habari ndugu wanaJF,
Zamani tunakua ilikuwa anga likiwa bright hasa nyakati za usiku, wakati unasubiri chakula cha usiku ili usisinzie baba alikuwa anatuambia nenda kahesabu nyota na zilikuwa nyingi mno na zilikuwa zikionekana katika makundi.
Sasa je, siku hizi zimekwenda wapi? Au Ni Mimi ndio mhenga?
Zamani tunakua ilikuwa anga likiwa bright hasa nyakati za usiku, wakati unasubiri chakula cha usiku ili usisinzie baba alikuwa anatuambia nenda kahesabu nyota na zilikuwa nyingi mno na zilikuwa zikionekana katika makundi.
Sasa je, siku hizi zimekwenda wapi? Au Ni Mimi ndio mhenga?