Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
it's fucking starlink!Habari Wana JF,juzi usiku kwenye saa moja hivi niliona kitu Kama NYOTA zimejipanga mstari zikawa zinasogea alafu zikapotea, nikawa najiuliza maswali ni nini hiko bila majibu.
Ni mwisho wa dunia mkuuHabari Wana JF,juzi usiku kwenye saa moja hivi niliona kitu Kama NYOTA zimejipanga mstari zikawa zinasogea alafu zikapotea, nikawa najiuliza maswali ni nini hiko bila majibu.
SawaTafuta uzi humu hilo liliwekwa usiku ule ule ile ni mitambo ya Elon musk
Siku hizi mtu yupo US anawazoom wabongo wa K'koo kana kwamba anatazama TV full HD.Starlink hizo zinapita.starkink staellite ndizo satellites zipo kwenye lower orbit kuliko satellites nyingine...
Zipo karibu sana na dunia ndio maana unaziona...
Ndipo hawa TCRA wanakomaa kupambana kuzuia starlink internet kwa sababu ya kipuuzi eti usalama, sasa hizo satelites zinavyopita tuna usalama gani hapo, hata sio ku zoom tu unakuta zinakusanya mawasiliano yetu yote....Siku hizi mtu yupo US anawazoom wabongo wa K'koo kana kwamba anatazama TV full HD.
Mimi ushamba bado hujatoka maana sijui kazi yakeIla elon kajua kututoa ushamba waafrika
Starlink hizo zinapita.starkink staellite ndizo satellites zipo kwenye lower orbit kuliko satellites nyingine...
Zipo karibu sana na dunia ndio maana unaziona...
Ndipo hawa TCRA wanakomaa kupambana kuzuia starlink internet kwa sababu ya kipuuzi eti usalama, sasa hizo satelites zinavyopita tuna usalama gani hapo, hata sio ku zoom tu unakuta zinakusanya mawasiliano yetu yote....
Kikubwa waruhusu starlink iingie, hakuna namna tunaweza kujificha mbele ya wazungu...
Watu mko makini kweli.
Wengine hata kutazama huko juu haipo