Nyota Nyekundu Special Thread

Hebu nipe line up ya Red Star
 
Steven Names, Morris Nyuki, Mbaraka Mohamed, Mohamed Nyauba, Pazi Ally, Faustine Kibingwa, Steven Chibichi, Hamis Dilunga, Ayubu Mzee, John Manyama na Rosta Ndunguru
Kuna sub wao Haruna?Mahundi au somebody Mahundu,naye alikuwa mzuri.Thanks bro for the first 11.Umeipatia mno
 
Nalikumbuka chama langu. ...enzi hizo golini unamkuta Steven nemes, pembeni anasimama musa Kihwelu (r.i.p) na mapunda (jina la mwanzo limenitoka ),mabeki wa kati wanasimama abas kuka na frank kassanga bwalya ,dimba dogo anakamata muhidin pazi na Steven chibichi,mawinga wanasimama rosta ndunguru na. .. washambuliaji ni mohammed mgalike na John mgazija .....kwenye bench kuna golikipa omar pazi, zonte'dj',.....chini ya kocha king kibadeni
 
 
Nyota Nyekundu Sports Club
John Bosco, Morris Nyuchi, Mohamed Nyauba Pazi Ali, ,
Frank Kasanga (Bwalya), Mohamed Mgalike, Roster Ndunguru.

Vv
 
Steven Names, Morris Nyuki, Mbaraka Mohamed, Mohamed Nyauba, Pazi Ally, Faustine Kibingwa, Steven Chibichi, Hamis Dilunga, Ayubu Mzee, John Manyama na Rosta Ndunguru
Marhaba hapo sawa kabisa ila pana mtu aliitwa frank kasanga "bwalya "hao watu utakuta bango lao wameandika "kumkoma Nyani giladi"waqt umekwenda sana pia John bosco ambae baadae alikwenda yanga mweupe kwa wajihi alikuwa beki mshahara kweli alipita hapo.
 
Chama kilikuwa kimekamilika
 

Umenikumbusha mbali Mkuu.Huyo Peter Mwakibibi alikuwa hatari kweli.
 
Ilizaliww baada na watu waliotoka Simba kama ambavyo Pan Africa ilianzishwa na watu waliotoka Yanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…