Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,599
- 9,532
Aisee hongera sana jolie na karibu kenya hakuna matata...hapa utapiga unge'nge wako mwanzo hadi mwisho, hadi kule vijijini huku ukieleweka fresh kabisa. Ungedhubutu kule uswahilini dah hali sio hali..ni jambo zuri maana sisi na nyinyi wamerekani ni wamoja..
Kenya na Marekani ni Wamoja. Ukistaajabu ya Mombasa, utayaona ya Nairobi.Aisee hongera sana jolie na karibu kenya hakuna matata...hapa utapiga unge'nge wako mwanzo hadi mwisho, hadi kule vijijini huku ukieleweka fresh kabisa. Ungedhubutu kule uswahilini dah hali sio hali..ni jambo zuri maana sisi na nyinyi wamerekani ni wamoja..
Huko Kenya ameenda bure, kwa Tanzania ni lazima alipie kuingia.Huko wanazuru kwa shughuli za kujitolea wakati Tanzania wanakuja kula maraha. Jionee tofauti
Are 90% of tanzanians this stupid?Huko Kenya ameenda bure, kwa Tanzania ni lazima alipie kuingia.
Kama the whole nation of KENYA kuna mwenye akili, hebu niambie kuja kwa Angela Jolie Kenya kwa ajili ya campaign ya violence against women inafananaje na ziara ya Beckham na familia yake Serengeti? I call that desperation..[emoji3] [emoji85]Are 90% of tanzanians this stupid?
jiulize kwanza Angelina Jolie ni Envoy wa nini kwanza... halafu kisha jiulize June 20th ni siku kuu gani. Kisha niambie if it has to do with Kenyan womenKama the whole nation of KENYA kuna mwenye akili, hebu niambie kuja kwa Angela Jolie Kenya kwa ajili ya campaign ya violence against women inafananaje na ziara ya Beckham na familia yake Serengeti? I call that desperation..[emoji3] [emoji85]
Kama the whole nation of KENYA kuna mwenye akili, hebu niambie kuja kwa Angela Jolie Kenya kwa ajili ya campaign ya violence against women inafananaje na ziara ya Beckham na familia yake Serengeti? I call that desperation..[emoji3] [emoji85]
Tanzania ndio nchi ya kipindupindu kanda hili, na kama aliponea huko, huku ataponea tu.Angelina Jolie akae chonjo kuna kipindupindu huko..
Angelina Jolie azuru Kenya ili kuzungumzia kuhusu dhuluma za kingono wakati wa vita
Nyota wa filamu nchini Marekani Anjelina Jolie yuko mjini Nairobi nchini Kenya ambapo anatarajiwa kuzungumza kuhusu dhuluma za kingono katika vita.
Anatarajiwa kuhutubia kongamano liloandaliwa na jeshi la Uingereza la kukabiliana na dhuluma za kingono wakati wa vita.
bbc swahili
Aa wapii water access in Dar right now is comparable to none in EA's capital cities.Tanzania ndio nchi ya kipindupindu kanda hili, na kama aliponea huko, huku ataponea tu.