Nyota wa Hollywood kuja Tanzania

ngoshwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2009
Posts
4,131
Reaction score
937

wapi hii mambo, AU ndo yale yale??
 
Kama muuza sura Tz tumempata jamni hahhaha hahhahha
 
Duuu prezooo wetu nomaa..... ana project ya kuleta wahandisi wa kujenga clubs an casino za ukweli hapa bongo, wacha wewe JK ni sooo !! itakua hakuna kulala !!
 
Well mipango mizuri lakini kwanini haimaterialize? Maana kila nikiamka ni mipango tu !
 
Yaani hichi nacho ni kitu cha Rais kushughilikia?
Si kuna baraza la sanaa? Kwa nini asiwaelekeze hao akina Zane huko?
Yaani every Tom, Dick and Harry can just get the attention of our President as long as they are American?
 
afadhali hata hii ya merikano kuliko ile ya jana akipokea yeboyebo kutoka china na vitu vingine vya thamani ya shilingi millioni hamsini... it was pathetic kabisa
 
Kudadadeki this is our president bana lol
 
Rais ameona kila kitu afanye mwenyewe maana bongo hadi wanaohusika na sanaa wamelala wameconcentrate kwenye bongo movies kusema "pumbavuuuuuuu" na kuvaa makoti mazito dar pamoja na lilee joto, au mtu anavaa shati nyekundua naingia kwny gari akishuka anakua na shati nyingine, na jambazi anayevua viatu anaingia kwenye nyumba ya vigae. hahaha kweli tu ahitaji msaada, Movie kama District 9 ya South Africa ina CGI za hollywod kabisa, very well made, ila bongo nani atainvest $100M kwenye movie, haha! we need help utake usitake, kama kweli unataka kutoka kwenye hii industry afu still inabidi tu kutumia ngeli... usiseme tuige wahindi maana wao soko lao linajitoshelezea, wako bilioni nchini kwao, swahili speakin countries wako wangapi? afu hata theatres za kuhesabu hata mia hazifiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…